Masikini Jeuri
Member
- Jan 13, 2008
- 37
- 4
- Thread starter
- #21
kwa akili zangu ndogo nadhani mapigano yao ni ya mahusiano kwani zamani walikuwa wakionekana pamoja sasa iweje leo wanagombana kiasi hiki
Inawezekana hawa wanafahamiana vizuri sana. Nilisoma somewhere kuwa alikuwa na uhusiano naye bibie akachukuliwa mkulu wa CCM