Kulikuwa na gazeti la Uhuru, Mzalendo la J. pili, Daily News na gazeti langu pendwa la Sani.Miaka hio Uhuru lilipokua na akili
Kulikuwa na gazeti la Uhuru, Mzalendo la J. pili, Daily News na gazeti langu pendwa la Sani.Miaka hio Uhuru lilipokua na akili
Alikuwa Mnubi ndiyo maana band ya JW iliimba wimbo ukisema Enjoka ye kinuubi. Wanubi asili yao ni South Sudan.Asee
Alikuwa Mnubi ndiyo maana band ya JW iliimba wimbo ukisema Enjoka ye kinuubi. Wanubi asili yao ni South Sudan.
Mtu chake hata wewe unaweza kukuta your ancestors came from elsewhere. Tusijidanganye sababu enzi zile hakukuwa na mipaka bali kulikuwa na makabila. Vita ikipigwa wakati huo watu walikuwa wanachukuliwa mateka, wasichana wanaozwa kwa the concur hivyo watu walibadilishana genes kama mchezo. Makabila ambayo yanatoka mpakani hata kati ya nchi ukiuliza wagogo wanakwambia mababu zao walitokea kusini yaani ni Hottentots sasa nani ni raia???? Wahadzande tu ndo naamini ni raia basi.OK sijakataa maana hata Mobutu wanasema hakua mcongolee ,alitokea Angola
Na kwa jinsi alivyo IDD Amini mnubi tosha
Sani lilipendwa na wengi sana enzi hizo,naona umelisahau gazeti la Mfanyakazi,hili gazeti nililipenda sana enzi hizo.Kulikuwa na gazeti la Uhuru, Mzalendo la J. pili, Daily News na gazeti langu pendwa la Sani.
Mtu chake hata wewe unaweza kukuta your ancestors came from elsewhere. Tusijidanganye sababu enzi zile hakukuwa na mipaka bali kulikuwa na makabila. Vita ikipigwa wakati huo watu walikuwa wanachukuliwa mateka, wasichana wanaozwa kwa the concur hivyo watu walibadilishana genes kama mchezo. Makabila ambayo yanatoka mpakani hata kati ya nchi ukiuliza wagogo wanakwambia mababu zao walitokea kusini yaani ni Hottentots sasa nani ni raia???? Wahadzande tu ndo naamini ni raia basi.
Hilo llilikuwa halifiki vijijini niliokuwa. Tulikuwa tunaagiza Sani toka Mwanza na mabasi ya Bunda Bus service. Nilikuwa sehemu mhu... we acha tu Enzi zetu tulikuwa tunapelekwa popote.Sani lilipendwa na wengi sana enzi hizo,naona umelisahau gazeti la Mfanyakazi,hili gazeti nililipenda sana enzi hizo.
Hapo kwenye "mhu..." nimeshapafahamu,ila wacha nipige kimya ikiwa hata wewe mwenyewe hukutaka kupataja.Hilo llilikuwa halifiki vijijini niliokuwa. Tulikuwa tunaagiza Sani toka Mwanza na mabasi ya Bunda Bus service. Nilikuwa sehemu mhu... we acha tu Enzi zetu tulikuwa tunapelekwa popote.
Kwao mvaa bendera ya taifa.Hapo kwenye "mhu..." nimeshapafahamu,ila wacha nipige kimya ikiwa hata wewe mwenyewe hukutaka kupataja.
Nafikiri uko na fundamental issues za uelewa. Sielewi tiba yake kwa kweli.Kwa hiyo kuvunja daraja la nchi jirani sio definition ya uvamizi?
Na anahofiaje uvamizi wakati ushasema concentration of force ilikuwa kusini, Uganda ipo kaskazini
Acha kutetea ujinga wewe
Naamini alikuwa mnubi kutoka south sudanIdi Amin Dada alikuwa kabila la Kakwa kutoka Sudan
Sina shaka wewe ni kada wa chama chetu!hapana mkuu... tatizo binadamu tunapenda kusoma/kuona/kupewa/kusikia kile tupendacho
hadi sasa ukute bado uhuru lina akili sema tu linaandika yale usiyopenda kuyasoma
Sina shaka wewe ni kada wa chama chetu!
Huwezi kuringanisha gazeti la uhuru la wakati ule, na sasa. Kwanza, kupata kazi ya kuliandikia tu, ilikuwa ni kazi.
Kwamba alikuwa hivyo