Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Wananchi nje ya nchi wanapply passport mpya mtandaoni, wanalipia hela kila kitu vizuri kabisa lakini mnawacheleweshea kwa visingizio vya eti gharama za diplomatic package.
Acheni habari zenu za diplomatic package, passport za wananchi ni haki za wananchi, zisafirisheni haraka hizo passport ziwafikie wananchi haraka.
Hizi documents ni muhimu kwa ajili ya mipango ya muda mrefu ya uwekezaji na biashara, sasa mnapozichelewesha kwa visingizio vya gharama za diplomatic package hamueleweki.
Wekeni basi hizo gharama za diplomatic pakage au gharama za kusafirisha hizo passports ili watu walipie na mtoe risiti!
Watu nje wanataka kufanya transactions kubwa za pesa, kuchukua credits, na wanahitaji passport unakuta mnazichelewesha hadi miezi mitatu kusudi eti walipie gharama za kuzisafirisha, Mbona hizi gharama hamzisemi katika gharama zenu official?
Nawaomba tu hapo uhamiaji, kuweni transparent. Hii ni serikali ya Magufuli, msimkwamishe, mtajuta!
Safirisheni passports za watu haraka ziwafikie wananchi katika nchi mbalimbali kabla ya Christmas na mwaka mpya ili wananchi warudi nyumbani wakiwa na uhakika wa kuwa salama dhidi ya deadline ya kuexpire la sivyo tutawashitaki kwa Rais Magufuli asiyetaka mambo ya msingi kupigwa danadana.
Kuna watu wameapply passport zamani wanasubirishwa, wengine wanapply ndani ya wiki chache wanaletewa fasta, ina maana hiyo diplomatic package au njia za usafiri zinabagua au kuna watu wanatoa pesa ili zije?
Kama hiyo ndio policy yenu ya kimya kimya basi waambieni watu watoe hiyo pesa waziwazi kwenye mitandao, na risiti mtoe. Msiwacheleweshee watu document hii muhimu!
Acheni habari zenu za diplomatic package, passport za wananchi ni haki za wananchi, zisafirisheni haraka hizo passport ziwafikie wananchi haraka.
Hizi documents ni muhimu kwa ajili ya mipango ya muda mrefu ya uwekezaji na biashara, sasa mnapozichelewesha kwa visingizio vya gharama za diplomatic package hamueleweki.
Wekeni basi hizo gharama za diplomatic pakage au gharama za kusafirisha hizo passports ili watu walipie na mtoe risiti!
Watu nje wanataka kufanya transactions kubwa za pesa, kuchukua credits, na wanahitaji passport unakuta mnazichelewesha hadi miezi mitatu kusudi eti walipie gharama za kuzisafirisha, Mbona hizi gharama hamzisemi katika gharama zenu official?
Nawaomba tu hapo uhamiaji, kuweni transparent. Hii ni serikali ya Magufuli, msimkwamishe, mtajuta!
Safirisheni passports za watu haraka ziwafikie wananchi katika nchi mbalimbali kabla ya Christmas na mwaka mpya ili wananchi warudi nyumbani wakiwa na uhakika wa kuwa salama dhidi ya deadline ya kuexpire la sivyo tutawashitaki kwa Rais Magufuli asiyetaka mambo ya msingi kupigwa danadana.
Kuna watu wameapply passport zamani wanasubirishwa, wengine wanapply ndani ya wiki chache wanaletewa fasta, ina maana hiyo diplomatic package au njia za usafiri zinabagua au kuna watu wanatoa pesa ili zije?
Kama hiyo ndio policy yenu ya kimya kimya basi waambieni watu watoe hiyo pesa waziwazi kwenye mitandao, na risiti mtoe. Msiwacheleweshee watu document hii muhimu!