mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,291
- 341
Idara ya maji hapa wilayani Ukerewe inadaiwa deni na Tanesco kama milioni 7 katika mradi wa maji kijijini LUTARE WILAYANI UKEREWE, nje kidogo ya mji wa Nansio. Mradi uliozinduliwa na Makamu wa Rais bibi Samia.
Inavyosemekana kutokana na deni hilo Tanesco imeamua kuzuia wananchi wasipate maji hadi hapo deni litakapo lipwa.
Hii ni kwa sasa miezi 4 na hakuna chochote kinachoendelea hadi deni hilo litakapo lipwa
Inavyosemekana kutokana na deni hilo Tanesco imeamua kuzuia wananchi wasipate maji hadi hapo deni litakapo lipwa.
Hii ni kwa sasa miezi 4 na hakuna chochote kinachoendelea hadi deni hilo litakapo lipwa