chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
Nyinyi watu wa ardhi jiji la Dodoma, kiukweli mnatupa tabu wateja wenu, nimefika hapa ofisini kwenu kufuatilia hati yangu nina mwaka wa 2 huu tangu mwaka 2019, hadi leo hati bado sijapata. Leo nimefika hapa asubuhi na mapema saa 12 asubuhi, niliona bora niwahi asubuh na mapema maana kero zenu nazijua, nikaona isiwe tabu bora baridi inipige lakini nijue mchakato wa hati yangu imefika wapi.
Kwa bahati njema, namba ikaitwa nikaingia ndani, nikapewa kikaratasi na madam fulani akaniambia nikachukue faili, nikaona isiwe tabu ngoja niende, dirishani kwenye kale kadirisha kenu ka kuchungulia kana kero pia, uzuri mlikaweka ka bati ili ukigonga basi mhudumu masijala akusikie, pale nimeumiza vidole vyangu kwa kugonga, mwisho nikafanikiwa fail likaletwa, kucheck fail pale pale nilipo ishia mara ya mwisho kuja ndo hapo hapo lika-stuck hadi leo hii,
Kilichonichosha zaidi madam anayeshugulikia hiz plot za nala lugala(na ndiko iliko plot yangu pia)akasema tunatakiwa tuchape fail kwa ajl ya hati yako, ila printer hakuna na wino hakuna! Tumeomba hivi vifaa wiki ya 3 sasa hatujapewa, . Nikamuangalia nikaoshiwa pozi kabisaaaa! Yaani wiki ya 3 jiji la Dodoma ardhi hiyo printer na wino kweli vimeshidikana kuweko ofisini? Au mmeagiza dubai mnasubili ifike bandalinia? Huu ni uzembe wa hali ya juu.
Basi bana ikabidi huyu mhuumu aliyepewa dhamana ya kushugulikia hiz plot za nala, atumie busara kwa kuwa hati yangu imekuwa ni muda mrefu, akaniambia sasa kwa kuwa hapa hatuna printer wala wino, basi itakubidi isubiri hapo nje, tulipeleke hili fail ofisi nyingine waka print huko ila uwe mvumilivu itachukua muda mrefu, nikaishiwa poz kabisaaa.
Basi hapa niko nje muda huu nasubiri huko sijui wapi fail lilikopelekwa ku printiwa na sijui saa ngapi wataniita .
Nyinyi watu wa ardhi jiji la Dodoma, kiukweli mnatupa tabu wateja wenu, nimefika hapa ofisini kwenu kufuatilia hati yangu nina mwaka wa 2 huu tangu mwaka 2019, hadi leo hati bado sijapata. Leo nimefika hapa asubuhi na mapema saa 12 asubuhi, niliona bora niwahi asubuh na mapema maana kero zenu nazijua, nikaona isiwe tabu bora baridi inipige lakini nijue mchakato wa hati yangu imefika wapi.
Kwa bahati njema, namba ikaitwa nikaingia ndani, nikapewa kikaratasi na madam fulani akaniambia nikachukue faili, nikaona isiwe tabu ngoja niende, dirishani kwenye kale kadirisha kenu ka kuchungulia kana kero pia, uzuri mlikaweka ka bati ili ukigonga basi mhudumu masijala akusikie, pale nimeumiza vidole vyangu kwa kugonga, mwisho nikafanikiwa fail likaletwa, kucheck fail pale pale nilipo ishia mara ya mwisho kuja ndo hapo hapo lika-stuck hadi leo hii,
Kilichonichosha zaidi madam anayeshugulikia hiz plot za nala lugala(na ndiko iliko plot yangu pia)akasema tunatakiwa tuchape fail kwa ajl ya hati yako, ila printer hakuna na wino hakuna! Tumeomba hivi vifaa wiki ya 3 sasa hatujapewa, . Nikamuangalia nikaoshiwa pozi kabisaaaa! Yaani wiki ya 3 jiji la Dodoma ardhi hiyo printer na wino kweli vimeshidikana kuweko ofisini? Au mmeagiza dubai mnasubili ifike bandalinia? Huu ni uzembe wa hali ya juu.
Basi bana ikabidi huyu mhuumu aliyepewa dhamana ya kushugulikia hiz plot za nala, atumie busara kwa kuwa hati yangu imekuwa ni muda mrefu, akaniambia sasa kwa kuwa hapa hatuna printer wala wino, basi itakubidi isubiri hapo nje, tulipeleke hili fail ofisi nyingine waka print huko ila uwe mvumilivu itachukua muda mrefu, nikaishiwa poz kabisaaa.
Basi hapa niko nje muda huu nasubiri huko sijui wapi fail lilikopelekwa ku printiwa na sijui saa ngapi wataniita .