Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mbona nakumbuka mama Zakia Meghji wakati huo akiwa waziri wa fwedha aliwahi kupiga marufuku wafanyabiashara wa Tanzania kuweka bei zao kwa dollar. Lakini kama kawaida matamko ya viongozi wa nchi hii huwa yanasahaulika na kupuuzwa kabla hayajatamkwa!