niliuliza mwaka jana juu ya tatizo ka uchumi wetu hasa ni nini? Majuzi nimemwagiza ndugu yangu aniangalizie vibali na vitu fulani hapo dar. Amekuja na kunipa quotes jatika dola. Nikauliza kwa hela yetu ni kiasi gani hakuweza kukumbuka mara moja.
Nikawa nafuatilia malipo ya mwingine hapo kampala university. Original quote was in tanzanian shillings but when the time came to make payments akatakiwa alipe kwa dola kiasi ambacho hakikulingana kabisa na ile hela ya madafu.
Kuna tatizo gani la kutumia shilingi? Kama dola inaakisi haki yetu ya kiuchumi why not peg our money to the dollar? Au tuamue tu kuwa dola ni legal tender kwa malipo yote nchini na mahali popote. Tunaweza hata kuamua kuita shilingi yetu "dola" kama itatufanya tujisikie vizuri.
Otherwise, are we screwed or what!?
tatizo kubwa ni sisi wenyewe kwani kila idara tupo watanzania wenyewe,lakini tunaweza endapo kati ya mabo mengine pia serikali yetu iamue kuwa kila mwenye huduma au bidhaa apange bei zake ktk tshs. Ili yule anayekuja na dola atafute madafu kwanza ndipo apate huduma au bidhaa,vinginevyo kusneee mfumuko wa bei nsasa ni zaidi ya 30%