Idadi ya watu Tanzania inavutia maoni ya Serikali ya majimbo

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,301
12,600
Matokeo ya Sensa 2022 inaonyesha kuwa idadi ya watu wa Zanzibar ni 3.06% tu ya watu wote wa Tanzania. Idadi hii ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya watu kwenye baadhi ya mikoa ya bara.

Takwimu hizi zinaonyesha namna muundo wa serikali yetu unavyotakiwa kubadilika kuwa wa kimajimbo ili kuharakisha maendeleo ya watu wote wa tanzania kwa usawa. Zanzibar ina watu wachache lakini maendeleo yake yanatiliwa mkazo sana kwasababu wa serikali inayoweza kuzichokonoa rasilimali zote zilizomo ndani ya Zanzibar na kuzitumia kikamilifu kwa manufaa ya wakazi wake.

Kama nchi yote itaendeshwa kwa majimbo idadi ya watu katika kila jimbo itazingatiwa kwa usawa na rasilimali zote zilizomo kwenye jimbo zitatumika kikamilifu kwakuwa zitahitajika sana kuendesha jimbo pamoja na serikali kuu.

Tuingawanye nchi kwenye majimbo ambayo yatazingatia idadi ya watu, mchanganyiko wa makabila, dini na rasilimali zitakazokuwemo ndani ya jimbo. Faida yake kuu ni kuwa kutakuwemo na uwajibikaji mkubwa wa watu ndani ya jimbo, serikali itakuwa karibu zaidi na watu wake, mila na desturi kwenye jimbo zitakaribiana kama sio kufanana, majimbo yataendelezwa, viongozi watatokana na watu wenyewe ndani ya jimbo na majimbo kushindana kwa maendeleo.

Hasara zake ni pamoja na majimbo kuweza kuingiwa na ulevi wa kutaka kujitenda kama ilivyo kwa Tigrae kule Ethiopia, lakini hii ni ndogo sana.
 
Sioni mfumo wa serikali za majimbo una uhusiano gani na Zanzibar wa moja kwa moja. Hili ni jambo la Tanganyika. Nakubaliana nawe kuwa wakati umefika tena jana kabisa. Mfumo huu utaboresha utoaji wa huduma na kila jimbo kuwa na maamuzi kutokana na muktadha wake.
 
Sioni mfumo wa serikali za majimbo una uhusiano gani na Zanzibar wa moja kwa moja. Hili ni jambo la Tanganyika. Nakubaliana nawe kuwa wakati umefika tena jana kabisa. Mfumo huu utaboresha utoaji wa huduma na kila jimbo kuwa na maamuzi kutokana na muktadha wake.
Huoni uhusiano lakini ukivaa miwani yenye lens mbinuko utauona uhusiano wa idadi ya watu wa Zanzibar na mikoa ya Tanganyika.

Ukiangalia bila miwani utaona kuwa Kuna mikoa ya Tanganyika ambayo Ina watu wengi zaidi ya nchi ya Zanzibar lakini sio nchi.

Maana yangu ni kuwa wakati Zanzibar ikiwa na Rais wao basi na majimbo yawe na Gavanor wao waliyemchagua wenyewe kwenye sanduku la kura awaongoze kama vile wazanzibar wanavyomchagua Rais wao.
 
Unataka kupunguza mamlaka ya malkia????hili halikubaliki
Matokeo ya Sensa 2022 inaonyesha kuwa idadi ya watu wa Zanzibar ni 3.06% tu ya watu wote wa Tanzania. Idadi hii ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya watu kwenye baadhi ya mikoa ya bara.

Takwimu hizi zinaonyesha namna muundo wa serikali yetu unavyotakiwa kubadilika kuwa wa kimajimbo ili kuharakisha maendeleo ya watu wote wa tanzania kwa usawa. Zanzibar ina watu wachache lakini maendeleo yake yanatiliwa mkazo sana kwasababu wa serikali inayoweza kuzichokonoa rasilimali zote zilizomo ndani ya Zanzibar na kuzitumia kikamilifu kwa manufaa ya wakazi wake.

Kama nchi yote itaendeshwa kwa majimbo idadi ya watu katika kila jimbo itazingatiwa kwa usawa na rasilimali zote zilizomo kwenye jimbo zitatumika kikamilifu kwakuwa zitahitajika sana kuendesha jimbo pamoja na serikali kuu.

Tuingawanye nchi kwenye majimbo ambayo yatazingatia idadi ya watu, mchanganyiko wa makabila, dini na rasilimali zitakazokuwemo ndani ya jimbo. Faida yake kuu ni kuwa kutakuwemo na uwajibikaji mkubwa wa watu ndani ya jimbo, serikali itakuwa karibu zaidi na watu wake, mila na desturi kwenye jimbo zitakaribiana kama sio kufanana, majimbo yataendelezwa, viongozi watatokana na watu wenyewe ndani ya jimbo na majimbo kushindana kwa maendeleo.

Hasara zake ni pamoja na majimbo kuweza kuingiwa na ulevi wa kutaka kujitenda kama ilivyo kwa Tigrae kule Ethiopia, lakini hii ni ndogo sana.
 
Matokeo ya Sensa 2022 inaonyesha kuwa idadi ya watu wa Zanzibar ni 3.06% tu ya watu wote wa Tanzania. Idadi hii ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya watu kwenye baadhi ya mikoa ya bara.

Takwimu hizi zinaonyesha namna muundo wa serikali yetu unavyotakiwa kubadilika kuwa wa kimajimbo ili kuharakisha maendeleo ya watu wote wa tanzania kwa usawa. Zanzibar ina watu wachache lakini maendeleo yake yanatiliwa mkazo sana kwasababu wa serikali inayoweza kuzichokonoa rasilimali zote zilizomo ndani ya Zanzibar na kuzitumia kikamilifu kwa manufaa ya wakazi wake.

Kama nchi yote itaendeshwa kwa majimbo idadi ya watu katika kila jimbo itazingatiwa kwa usawa na rasilimali zote zilizomo kwenye jimbo zitatumika kikamilifu kwakuwa zitahitajika sana kuendesha jimbo pamoja na serikali kuu.

Tuingawanye nchi kwenye majimbo ambayo yatazingatia idadi ya watu, mchanganyiko wa makabila, dini na rasilimali zitakazokuwemo ndani ya jimbo. Faida yake kuu ni kuwa kutakuwemo na uwajibikaji mkubwa wa watu ndani ya jimbo, serikali itakuwa karibu zaidi na watu wake, mila na desturi kwenye jimbo zitakaribiana kama sio kufanana, majimbo yataendelezwa, viongozi watatokana na watu wenyewe ndani ya jimbo na majimbo kushindana kwa maendeleo.

Hasara zake ni pamoja na majimbo kuweza kuingiwa na ulevi wa kutaka kujitenda kama ilivyo kwa Tigrae kule Ethiopia, lakini hii ni ndogo sana.
Hakuna sababu ya kuwa na Serikali ya Majimbo bali tuwe na kanuni zinazoeleweka za mgawanyo wa rasilimali za Nchi..

Baadhi ya Vigezo vinavyotakiwa kutumika ni kama ifuatavyo,

-Idadi ya watu wa kila Mkoa,
-Ukubwa wa Eneo la Mkoa,
-Nature of Terrain&Climatic Condition,
-Uwezo wa KiMapato wa Kila Mkoa,
-Mchango wa Mkoa kwenye Pato la Taifa yaani GDP,
-Socila Factors kama Kuwa Mipakani, maendeleo yaliyopo.nk

Tukizipq weights hizo factors tutakuwa na mgawanyo wa rasilimali za Nchi vizuri badala ya inavyofanyika sasa Kwa kutegemea utashi wa viongozi,ukabila na ukanda..

Tunaweza kujifunza kutoka hata Kwa USA wanavyofanya hapa chini 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220508-180927.png
    Screenshot_20220508-180927.png
    172.5 KB · Views: 9
Matokeo ya Sensa 2022 inaonyesha kuwa idadi ya watu wa Zanzibar ni 3.06% tu ya watu wote wa Tanzania. Idadi hii ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya watu kwenye baadhi ya mikoa ya bara.

Takwimu hizi zinaonyesha namna muundo wa serikali yetu unavyotakiwa kubadilika kuwa wa kimajimbo ili kuharakisha maendeleo ya watu wote wa tanzania kwa usawa. Zanzibar ina watu wachache lakini maendeleo yake yanatiliwa mkazo sana kwasababu wa serikali inayoweza kuzichokonoa rasilimali zote zilizomo ndani ya Zanzibar na kuzitumia kikamilifu kwa manufaa ya wakazi wake.

Kama nchi yote itaendeshwa kwa majimbo idadi ya watu katika kila jimbo itazingatiwa kwa usawa na rasilimali zote zilizomo kwenye jimbo zitatumika kikamilifu kwakuwa zitahitajika sana kuendesha jimbo pamoja na serikali kuu.

Tuingawanye nchi kwenye majimbo ambayo yatazingatia idadi ya watu, mchanganyiko wa makabila, dini na rasilimali zitakazokuwemo ndani ya jimbo. Faida yake kuu ni kuwa kutakuwemo na uwajibikaji mkubwa wa watu ndani ya jimbo, serikali itakuwa karibu zaidi na watu wake, mila na desturi kwenye jimbo zitakaribiana kama sio kufanana, majimbo yataendelezwa, viongozi watatokana na watu wenyewe ndani ya jimbo na majimbo kushindana kwa maendeleo.

Hasara zake ni pamoja na majimbo kuweza kuingiwa na ulevi wa kutaka kujitenda kama ilivyo kwa Tigrae kule Ethiopia, lakini hii ni ndogo sana.
Napitia haraka haraka nakutana na makosa ya kiuandishi, sijui hawa watu wamelipwa pesa ya nini, naamini kutakuwa na makosa mengi kwenye hiki kitabu cha SENSA.

IMG-20221101-WA0020.jpg


Hospitali 26 ziko wapi?
Vituo vya hafya 60 vipo wapi?
Zahanati 209 ziko wapi?
IMG-20221101-WA0022.jpg
 

Attachments

  • POPULAR VERSION 28OKTOBA2022-FullBook_SJuttaEditedFinal.pdf
    11 MB · Views: 3
Hakuna sababu ya kuwa na Serikali ya Majimbo bali tuwe na kanuni zinazoeleweka za mgawanyo wa rasilimali za Nchi..

Baadhi ya Vigezo vinavyotakiwa kutumika ni kama ifuatavyo,

-Idadi ya watu wa kila Mkoa,
-Ukubwa wa Eneo la Mkoa,
-Nature of Terrain&Climatic Condition,
-Uwezo wa KiMapato wa Kila Mkoa,
-Mchango wa Mkoa kwenye Pato la Taifa yaani GDP,
-Socila Factors kama Kuwa Mipakani, maendeleo yaliyopo.nk

Tukizipq weights hizo factors tutakuwa na mgawanyo wa rasilimali za Nchi vizuri badala ya inavyofanyika sasa Kwa kutegemea utashi wa viongozi,ukabila na ukanda..

Tunaweza kujifunza kutoka hata Kwa USA wanavyofanya hapa chini 👇
Mfano wako haukidhi hoja yako, maana USA wana majimbo na wewe unasema hakuna haja ya majimbo twende hivihivi. Tulishajaribu serikali ya jumlajumla kwa miaka 60 sasa, tukaona faida na hasara yake. Hasara kubwa tuliyoipata ni watu kuongozwa na mkuu wa mkoa/wilaya ambae hawamjui tabia yake, hana uchungu na mkoa na watu wake, anahamishwa wakati wowote, hana mapenzi na watu wa pale wala mazingira. Hasara nyingine ni kwamba mahitaji halisi ya eneo hayawasilishwi kikamilifu huko kwenye jungu kuu ambalo liko Dodoma, tatu, pesa zinaliwa wakati wa kwenda na wakati wa kurudi kwa wananchi, tano utakuta rasilimali za eneo moja zinakwenda kuhudumia eneo lingine na kuwaacha wenye rasilimali husika wakiwa hawana huduma. yaani pesa ya dhahabu ya shinyanga inakwenda kujenga barabara nzuri Kilimanjaro wakati shinyanga hakuna barabara.
 
Huoni uhusiano lakini ukivaa miwani yenye lens mbinuko utauona uhusiano wa idadi ya watu wa Zanzibar na mikoa ya Tanganyika.

Ukiangalia bila miwani utaona kuwa Kuna mikoa ya Tanganyika ambayo Ina watu wengi zaidi ya nchi ya Zanzibar lakini sio nchi.

Maana yangu ni kuwa wakati Zanzibar ikiwa na Rais wao basi na majimbo yawe na Gavanor wao waliyemchagua wenyewe kwenye sanduku la kura awaongoze kama vile wazanzibar wanavyomchagua Rais wao.
Mkuu ya Zanzibar yaache kwani hayasaidii mada yako na yatazua siasa za utanganyika na uzenji na kupoteza lengo.
 
Mkuu ya Zanzibar yaache kwani hayasaidii mada yako na yatazua siasa za utanganyika na uzenji na kupoteza lengo.
Hapo ndipo kiazi kilipo, watu 1.8 m kwa watu 59. 6 m is not a joke, especially when everyone of us is ought to mention both Tanganyika and Zanzibar at the same time during planning and executing various plans
 
Huu mkoa unabebwa na Wilaya ya Kaliua ambayo imevamiwa na Wasukuma Kwa ajili ya kilimo na ufugaji Kuna hatari ya Wanyamwezi kutawaliwa na Wasukuma
Na hapo ndipo kiazi kilipofichwa. Tabora ni kitovu cha harakati za ukombozi wa Tanganyika, lakini matunda ya ukombozi yanaliwa zaidi kwenye maeneo mengine. Faida ya tumbaku yao imepelekwa kujenga barabara kwenye mikoa mingine, mbao zao zinakwenda kutengeneza madawati na milango ya shule kwenye mikoa mingine na kuiacha tabora na shule zisizokuwa na madawati. Kwenye utawala wa majimbo jambo kama hilo haliwezi kutokea. Lakini hii yote ni Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ambayo kila mtanzania wa Tanganyika na Zanzinar anahitaji hewa safi, maji safi, matibabu safi, nyumba bora, umeme, shule, barabara na shule vyote kwenye umbali wao wa kutembea. Je, mgawanyo na upatikanaji wa huduma hizi uko sawa na kwa usawa katika mikoa yote? kama sio ni kwanini? kwani mikoa/wilaya haina rasilimali? zinakwenda wapi? Haiwezekani Mkuu wa Mkoa ambae ni Msukuma ambae sio mkazi Kilimanjaro awe na uchungu na maendeleo kwenye mkoa wa wachagga, hivyohivyo Mkwere kwa Wakuriya, n.k.

Maendeleo yanachelewa sana kwa aina hii ya utawala wa kutoka Dodoma kwa nchi nzima, maana mkuu mpya wa wilaya akipelekwa kwenye wilaya itamchukua miaka zaidi ya 2 kuifahamu wilaya, watu na utamaduni wao kabla ya kujua afanye nini kuwaletea wenyeji maendeleo. Lakini kama mkuu wa wilaya angekuwa mwenyeji wa wilaya ile aliyechaguliwa na wenyeji angeanza kazi mara moja bila kuwa na kipindi cha kumangamanga, kudanganywa, kutishwa na kuzoea mazingira.
 
Matokeo ya Sensa 2022 inaonyesha kuwa idadi ya watu wa Zanzibar ni 3.06% tu ya watu wote wa Tanzania. Idadi hii ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya watu kwenye baadhi ya mikoa ya bara.

Takwimu hizi zinaonyesha namna muundo wa serikali yetu unavyotakiwa kubadilika kuwa wa kimajimbo ili kuharakisha maendeleo ya watu wote wa tanzania kwa usawa. Zanzibar ina watu wachache lakini maendeleo yake yanatiliwa mkazo sana kwasababu wa serikali inayoweza kuzichokonoa rasilimali zote zilizomo ndani ya Zanzibar na kuzitumia kikamilifu kwa manufaa ya wakazi wake.

Kama nchi yote itaendeshwa kwa majimbo idadi ya watu katika kila jimbo itazingatiwa kwa usawa na rasilimali zote zilizomo kwenye jimbo zitatumika kikamilifu kwakuwa zitahitajika sana kuendesha jimbo pamoja na serikali kuu.

Tuingawanye nchi kwenye majimbo ambayo yatazingatia idadi ya watu, mchanganyiko wa makabila, dini na rasilimali zitakazokuwemo ndani ya jimbo. Faida yake kuu ni kuwa kutakuwemo na uwajibikaji mkubwa wa watu ndani ya jimbo, serikali itakuwa karibu zaidi na watu wake, mila na desturi kwenye jimbo zitakaribiana kama sio kufanana, majimbo yataendelezwa, viongozi watatokana na watu wenyewe ndani ya jimbo na majimbo kushindana kwa maendeleo.

Hasara zake ni pamoja na majimbo kuweza kuingiwa na ulevi wa kutaka kujitenda kama ilivyo kwa Tigrae kule Ethiopia, lakini hii ni ndogo sana.
Tupo tayari katika mfumo wa kimajimbo in de facto. Lakini in de jure hatupo.
Kwanini?
Kwa sababu huduma nyingi zinazowagusa wananchi tayari zipo na zinatolewa katika ngazi ya Halmashauri ambapo kuna wawakilishi wa moja kwa moja wa wananchi na wanajua kero za kila siku za wananchi. Na halmashauri zinapata ruzuku moja kwa moja toka serikali kuu japo haina formula. Na ndio maana kuna halmashauri zina stendi nzuri na zingine hazina, zina shule nzuri na zingine hazina, zina masoko mazuri, zingine hazina, zina VETA na zingine hazina, zina vituo vya afya vizuri na zingine hazina.
 
Hapo ndipo kiazi kilipo, watu 1.8 m kwa watu 59. 6 m is not a joke, especially when everyone of us is ought to mention both Tanganyika and Zanzibar at the same time during planning and executing various plans
Nasema tuiache zenji kwa sababu uhitaji wetu wa mfumo wa majimbo kwa Tanganyika upo tu. Zanzibar ni nchi sasa kwa udogo wake huwezi ukaiita jimbo wao wenyewe wataamua na katiba yao. LiTanganyika ndio litahitaji huo mfumo mpya ndani ya serikali 3 au vinginevyo.
 
Tupo tayari katika mfumo wa kimajimbo in de facto. Lakini in de jure hatupo.
Kwanini?
Kwa sababu huduma nyingi zinazowagusa wananchi tayari zipo na zinatolewa katika ngazi ya Halmashauri ambapo kuna wawakilishi wa moja kwa moja wa wananchi na wanajua kero za kila siku za wananchi. Na halmashauri zinapata ruzuku moja kwa moja toka serikali kuu japo haina formula. Na ndio maana kuna halmashauri zina stendi nzuri na zingine hazina, zina shule nzuri na zingine hazina, zina masoko mazuri, zingine hazina, zina VETA na zingine hazina, zina vituo vya afya vizuri na zingine hazina.
Kiazi kimefichwa eneo hilo. Watu wanategemea hisani na busara za mtu na serikali. Inafikirisha kuona kigoma ndio kwanza inapata umeme wa uhakika tangu miaka 60 ya uhuru. Kuna watu hadi sasa wanatumia maji na mifugo kwwnye dimbwi moja.
 
Back
Top Bottom