Idadi ya watu maskini Tanzania inaongezeka mwaka hadi mwaka, asilimia zinatudanganya au tunajidanganya?

Landson Tz

JF-Expert Member
May 8, 2011
295
221
Idadi ya watu maskini nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka. Takwimu zinazotolewa na wataalamu wetu zinaonyesha wazi kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka japokuwa ukijikita kwenye asilimia utaona kama umaskini unapungua.

Kutokana ukuaji mkubwa wa idadi ya watu (hadi 3% kwa mwaka) ambao hauendani na sera madhubuti za kuondoa na kudhibiti umaskini, idadi ya watu wanasota kwenye dimbwi la umaskini iaongezeka badala ya kupungua.

Utafiti unaofanywa na serikali kupitia NBS kila baada ya miaka mitano kwa kutumia asilimia unanyesha kuwa umaskini unapungua japo kwa spidi ndogo sana. Kwa mfano: 1991/92 (39%), 2000/01 (36%), 2007 (34.4%), 2011/12 (28.2%) na 2017/18 (26.4%)

Ukitumia tafiti hizo hizo ila ukaangalia idadi ya watu wanaoishi chini msitari wa umaskini (poverty line)
utagundua kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka hivyo kwenda kinyume na asilimia ambazo mara nyingi wataalam wetu hupenda kuzitumia. Angalia table hii hapa chini

MWAKAPOPULATION% YA WATU MASKINIIDADI YA WATU MASKINI
1991/92 26,961,197
39.00%​
10,514,867
2000/01 35,334,788
36.00%​
12,720,524
2007 40,681,404
34.40%​
13,994,403
2011/12 47,053,030
28.20%​
13,268,954
2017/18
56,313,438​
26.40%​
14,866,748

Tanzania ilikuwa na watu maskini 10,514,867 mwaka 1992, ila mwaka 2018 watu maskini waliongezeka na kufikia 14,866,748.

Kwa takwimu hizi, takwimu zinatudanganya au tunajidanga?

Landson Tanzania
 
Idadi ya watu maskini kwa Tanzania hiyo ni ndogo sana ukifanya utafiti wa kina sana utagundua watu hao ni wachache sana maana watu wanaoishi chini ya dola moja kwa siku ni wengi sana na wao wako katika kundi la watu maskini ila hiyo takwimu itakuwa wamechukuwa wale watu wanaonufaika na mfuko wa TASAF
 
Inashangaza kama sio kusikitisha serikali yenyewe ndio imefanya utafiti na kugundua idadi ya watu masikini Tanzania imeongezeka, safari hii wameshindwa kuchukua kwasababu huo ndio ukweli halisi unaoonekana kote mijini na vijijini, yet, kuna wajinga wengi wanaokimbilia huko kila siku toka upinzani kwenda kuunga mkono juhudi watanzania wazidi kuwa masikini, na wengi wao ni maprofesa n.k.

Tuna safari ndefu sana kama taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idadi ya watu maskini nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka. Takwimu zinazotolewa na wataalamu wetu zinaonyesha wazi kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka japokuwa ukijikita kwenye asilimia utaona kama umaskini unapungua.

Kutokana ukuaji mkubwa wa idadi ya watu (hadi 3% kwa mwaka) ambao hauendani na sera madhubuti za kuondoa na kudhibiti umaskini, idadi ya watu wanasota kwenye dimbwi la umaskini iaongezeka badala ya kupungua.

Utafiti unaofanywa na serikali kupitia NBS kila baada ya miaka mitano kwa kutumia asilimia unanyesha kuwa umaskini unapungua japo kwa spidi ndogo sana. Kwa mfano: 1991/92 (39%), 2000/01 (36%), 2007 (34.4%), 2011/12 (28.2%) na 2017/18 (26.4%)

Ukitumia tafiti hizo hizo ila ukaangalia idadi ya watu wanaoishi chini msitari wa umaskini (poverty line)
utagundua kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka hivyo kwenda kinyume na asilimia ambazo mara nyingi wataalam wetu hupenda kuzitumia. Angalia table hii hapa chini

MWAKAPOPULATION% YA WATU MASKINIIDADI YA WATU MASKINI
1991/92 26,961,197
39.00%​
10,514,867
2000/01 35,334,788
36.00%​
12,720,524
2007 40,681,404
34.40%​
13,994,403
2011/12 47,053,030
28.20%​
13,268,954
2017/18
56,313,438​
26.40%​
14,866,748

Tanzania ilikuwa na watu maskini 10,514,867 mwaka 1992, ila mwaka 2018 watu maskini waliongezeka na kufikia 14,866,748.

Kwa takwimu hizi, takwimu zinatudanganya au tunajidanga?

Landson Tanzania
yaani wewe utakuwa punguani kabisa au hujaenda shule vizuri sasa population inapoongezeka pamoja na kuwa asilimia ya umaskini inapungua lazima idadi ya watu ionekane kubwa tu maana watu wanaongezeka kuwa wengi yaani shule muhimu sana unahangaika kudanganya watu kumbe ulikimbia shule
 
Inashangaza kama sio kusikitisha serikali yenyewe ndio imefanya utafiti na kugundua idadi ya watu masikini Tanzania imeongezeka, safari hii wameshindwa kuchukua kwasababu huo ndio ukweli halisi unaoonekana kote mijini na vijijini, yet, kuna wajinga wengi wanaokimbilia huko kila siku toka upinzani kwenda kuunga mkono juhudi watanzania wazidi kuwa masikini, na wengi wao ni maprofesa n.k.

Tuna safari ndefu sana kama taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mnajuwa ndiyo maana kuna watu wa takwimu wanaojua kupiga hizohesabu nyinyi shule hamjaenda au mlikimbia hesabu sasa unaona kabisa population inakuwa kubwa pamoja na asilimia za umaskini kupungua unataka iende sawa na watu kuwa nao wawe wachache wakati wanaongezeka
 
Kama watumishi wa umma na wafanyakazi wa sekta binafsi wanalia maisha magumu wakati ndo tulitegemea wawe na ahueni ya maisha kwenye middle-class, then unaweza kuelewa hizo data wanazotupikia kwamba umaskini umepungua.
 
yaani wewe utakuwa punguani kabisa au hujaenda shule vizuri sasa population inapoongezeka pamoja na kuwa asilimia ya umaskini inapungua lazima idadi ya watu ionekane kubwa tu maana watu wanaongezeka kuwa wengi yaani shule muhimu sana unahangaika kudanganya watu kumbe ulikimbia shule
Wewe ndo utakuwa hujaelewa concept ya huu uzi labda ngoja nikuongezee maelezo uelewe

Ukiona idadi ya maskini inaongezeka wakati asilimia zinasema tofauti maana yake ni kwamba hata maskini wanazaana na wanzaa maskini wenzao hivyo idadi yao inaongezeka. Huwezi kujisifu kupunguza umaskini wakati idadi ya watu wengi wanaishi kwenye umaskini.
 
Wewe ndo utakuwa hujaelewa concept ya huu uzi labda ngoja nikuongezee maelezo uelewe

Ukiona idadi ya maskini inaongezeka wakati asilimia zinasema tofauti maana yake ni kwamba hata maskini wanazaana na wanzaa maskini wenzao hivyo idadi yao inaongezeka. Huwezi kujisifu kupunguza umaskini wakati idadi ya watu wengi wanaishi kwenye umaskini.
ndugu haiwezekani unachosema sawa maskini nao wanazaana lakini ujue humo kwenye masikini kunawengine wanatoka kwenye group la masikini wanakuwa kwenye unafuu hawawezi kwa maskini na uzao wao wote idadi ya watu inapokuwa kubwa hata kama umasikini unapungua lakini usiseme idadi ya maskini itashuka gafla hesabu haziwezi kwenda pamoja dugu ndiyo maana kwenye hesabu kuna matrix, intergration ,magazijuto na mengine kibao sasa wewe unachojua ni kutoana kujumlisha tu basi
 
Kama watumishi wa umma na wafanyakazi wa sekta binafsi wanalia maisha magumu wakati ndo tulitegemea wawe na ahueni ya maisha kwenye middle-class, then unaweza kuelewa hizo data wanazotupikia kwamba umaskini umepungua.
siyo kweloi mfanyakazi anapokea mshahara akuambie eti anamaisha magumu muongo huyo
 
yaani wewe utakuwa punguani kabisa au hujaenda shule vizuri sasa population inapoongezeka pamoja na kuwa asilimia ya umaskini inapungua lazima idadi ya watu ionekane kubwa tu maana watu wanaongezeka kuwa wengi yaani shule muhimu sana unahangaika kudanganya watu kumbe ulikimbia shule
Kwa mantiki hiyo kila idadi ya watu inapoongeza basi na masikini nao wanaongezeka hivyo hakuna uwiano sawa maana mtu mmoja akiondokana na umaskini basi kuna watu watatu wanaingia kwenye chain ya umaskini
 
Idadi ya watu maskini nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka. Takwimu zinazotolewa na wataalamu wetu zinaonyesha wazi kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka japokuwa ukijikita kwenye asilimia utaona kama umaskini unapungua.

Kutokana ukuaji mkubwa wa idadi ya watu (hadi 3% kwa mwaka) ambao hauendani na sera madhubuti za kuondoa na kudhibiti umaskini, idadi ya watu wanasota kwenye dimbwi la umaskini iaongezeka badala ya kupungua.

Utafiti unaofanywa na serikali kupitia NBS kila baada ya miaka mitano kwa kutumia asilimia unanyesha kuwa umaskini unapungua japo kwa spidi ndogo sana. Kwa mfano: 1991/92 (39%), 2000/01 (36%), 2007 (34.4%), 2011/12 (28.2%) na 2017/18 (26.4%)

Ukitumia tafiti hizo hizo ila ukaangalia idadi ya watu wanaoishi chini msitari wa umaskini (poverty line)
utagundua kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka hivyo kwenda kinyume na asilimia ambazo mara nyingi wataalam wetu hupenda kuzitumia. Angalia table hii hapa chini

MWAKAPOPULATION% YA WATU MASKINIIDADI YA WATU MASKINI
1991/92 26,961,197
39.00%​
10,514,867
2000/01 35,334,788
36.00%​
12,720,524
2007 40,681,404
34.40%​
13,994,403
2011/12 47,053,030
28.20%​
13,268,954
2017/18
56,313,438​
26.40%​
14,866,748

Tanzania ilikuwa na watu maskini 10,514,867 mwaka 1992, ila mwaka 2018 watu maskini waliongezeka na kufikia 14,866,748.

Kwa takwimu hizi, takwimu zinatudanganya au tunajidanga?

Landson Tanzania
Jisalimishe uhamiaji ukiwa na passport yako mpya
 
Kwa mantiki hiyo kila idadi ya watu inapoongeza basi na masikini nao wanaongezeka hivyo hakuna uwiano sawa maana mtu mmoja akiondokana na umaskini basi kuna watu watatu wanaingia kwenye chain ya umaskini
yap idadi ya watu inakuwa kubwa haraka lakini wakatihuohuo umaskini nao unapungua wanahesabika maskini lakini kuliko wa nyuma yao unakuwa unapungua
 
Sacco's kwisha habari yake
IMG_20200219_122948.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idadi ya watu maskini nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka. Takwimu zinazotolewa na wataalamu wetu zinaonyesha wazi kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka japokuwa ukijikita kwenye asilimia utaona kama umaskini unapungua.

Kutokana ukuaji mkubwa wa idadi ya watu (hadi 3% kwa mwaka) ambao hauendani na sera madhubuti za kuondoa na kudhibiti umaskini, idadi ya watu wanasota kwenye dimbwi la umaskini iaongezeka badala ya kupungua.

Utafiti unaofanywa na serikali kupitia NBS kila baada ya miaka mitano kwa kutumia asilimia unanyesha kuwa umaskini unapungua japo kwa spidi ndogo sana. Kwa mfano: 1991/92 (39%), 2000/01 (36%), 2007 (34.4%), 2011/12 (28.2%) na 2017/18 (26.4%)

Ukitumia tafiti hizo hizo ila ukaangalia idadi ya watu wanaoishi chini msitari wa umaskini (poverty line)
utagundua kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka hivyo kwenda kinyume na asilimia ambazo mara nyingi wataalam wetu hupenda kuzitumia. Angalia table hii hapa chini

MWAKAPOPULATION% YA WATU MASKINIIDADI YA WATU MASKINI
1991/92 26,961,197
39.00%​
10,514,867
2000/01 35,334,788
36.00%​
12,720,524
2007 40,681,404
34.40%​
13,994,403
2011/12 47,053,030
28.20%​
13,268,954
2017/18
56,313,438​
26.40%​
14,866,748

Tanzania ilikuwa na watu maskini 10,514,867 mwaka 1992, ila mwaka 2018 watu maskini waliongezeka na kufikia 14,866,748.

Kwa takwimu hizi, takwimu zinatudanganya au tunajidanga?

Landson Tanzania
Acha kudanganya watu, hiyo ni percentage iliyotumika.

Maana yake huwezi ukaangalia idadi ya maskini bila kuangalia watanzania wote na wasio maskini.

Kwa mifano ya miaka uliyochukua, na kwa takwimu ulizotoa, ;
Mwaka 1992 idadi ya watanzania wasio maskini walikuwa 16,446,330
Mwaka 2018 idadi ya watanzania wasio maskini walikuwa 41,798,571

Kwa hakika idadi ya watanzania wasio maskini imeongezeka sana kwa mujibu wa takwimu ulizotoa.
 
Kama watumishi wa umma na wafanyakazi wa sekta binafsi wanalia maisha magumu wakati ndo tulitegemea wawe na ahueni ya maisha kwenye middle-class, then unaweza kuelewa hizo data wanazotupikia kwamba umaskini umepungua.

sehem gan duniani middle class wana maisha mazuri?
 
Back
Top Bottom