Itakuwa huna gari,muda pekee wa kuskiliza redio ni asubuh wakat wa kwenda kibaruani na jion ile kwenye folen una tune radio unapata habari.Nikionaga mada kuhusu kusikiliza redio najionaga km sipo dunia hii vile, maana ni miaka sasa sisikilizi redio
Kwamba wote wenye magari wanasikiliza redio! Halafu kwani wana jf wote tunaishi mijini eti?Itakuwa huna gari,muda pekee wa kuskiliza redio ni asubuh wakat wa kwenda kibaruani na jion ile kwenye folen una tune radio unapata habari.