Idadi ya wanyamapori imepungua kwa zaidi ya theluthi mbili katika kipindi kisichopungua miaka 50

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Idadi ya wanyamapori imepungua kwa zaidi ya theluthi mbili katika kipindi kisichopungua miaka 50, kulingana na ripoti muhimu ya kundi la uhifadhi wa wanyamapori WWF.

Ripoti hiyo inasema kwamba kushuka kwa idadi hiyo hakuoneshi ishara za kupungua. Na imeonya kwamba asili inaharibiwa na wanadamu kiwango ambacho a hakijawahi kuonekana awali.

Wanyama pori wanapungua kwasababu ya uchomaji wa miti, kuvua samaki kupita kiasi, na kufanya uharibifu katika maeneo ambayo wanyama pori wanaishi kulingana na Tanya Steele, afisa mkuu mtendaji katika WWF.

==========================


Animal populations have plunged an average of 68% since 1970, as humanity pushes the planet’s life support systems to the edge


Mass soybean harvesting at a farm in Campo Verde, Brazil.
Mass soybean harvesting in Campo Verde, Brazil. Intensive agricultures has contributed to the collapse of some animal populations. Photograph: Alffoto/WWF

Wildlife populations are in freefall around the world, driven by human overconsumption, population growth and intensive agriculture, according to a major new assessment of the abundance of life on Earth.

On average, global populations of mammals, birds, fish, amphibians and reptiles plunged by 68% between 1970 and 2016, according to the WWF and Zoological Society of London (ZSL)’s biennial Living Planet Report 2020. Two years ago, the figure stood at 60%.

The research is one of the most comprehensive assessments of global biodiversity available and was complied by 134 experts from around the world. It found that from the rainforests of central America to the Pacific Ocean, nature is being exploited and destroyed by humans on a scale never previously recorded.

The analysis tracked global data on 20,811 populations of 4,392 vertebrate species. Those monitored include high-profile threatened animals such as pandas and polar bears as well as lesser known amphibians and fish. The figures, the latest available, showed that in all regions of the world, vertebrate wildlife populations are collapsing, falling on average by more than two-thirds since 1970.


Humans exploiting and destroying nature on unprecedented scale – report
 
Hata hivyo tunajivunia tausi kuzaliana tangu mpz wa Mungu aingie madarakani
 
Back
Top Bottom