mtendaji wa kijiji
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 533
- 114
Ndugu wanajamvi kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea watu wengi wamepoteza maisha wakiwa hospitalini, njiani kupelekwa Private hospitals na kurudishwa majumbani kutokana na Mgomo. Kulingana na Tathmini niliyoifanya mimi katika hospitali ya rufaa mhimbili na baadhi ya mitaa katika jiji la Dar na Mbeya watu 698 wamepoteza maisha katika wiki hz za mgomo. JK na utawala wako mna kesi ya kujibu na Ifike hatua sasa mshughulikie matatizo kwa dhati na sio kushutumu CHADEMA wakati ninyi ndo vyanzo vya matatizo na vifo hivi kwa utendaji wenu dhaifu. Swalahili la mgoo tusilihusishe kabisa na siasa