Uchaguzi 2020 Idadi ya rufaa zinazokubaliwa kwenye Ubunge ni nusu, bado upinzani watakuwa looser

Mdanganywa

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
620
342
Kama umeangalia vizuri utaona kwamba rufaa zinakubaliwa na zingine zinakataliwa. Ukiangalia idadi ya zinazokubaliwa na kukataliwa, hasa kwa ubunge utaona kwamba idadi ya zinazokubaliwa na kukataliwa ni nusu kwa nusu.

Ikiendelea hivi maana yake kama wabunge walioenguliwa na walikuwa 60, basi baada ya rufani zote watabaki 30.

Kwa hesabu hiyo bado upinzani watakuwa looser, maana kupoteza 30 ni wengi
 
Vyovyote itakavyokuwa...hakuna sabb zozote za msingi za uenguaji, na kumfurahisha Jiwe maana ndio yupo nyuma ya mpango huo.

Jamaa alikomaa kutaka kuua upinzani nadhani sasa kapata majibu sahihi upinzani upo sana nchi hii yeye na hata mm tutakufa tutauacha!.
 
Ni mpangi ovu ccm na tume yake ku proke wapinzani wagomee uchaguzi.Wajitangazie ushindi wa mezani.
 
Watafaulu kuengua maana hata hii thread hakuna majibu ni malalamiko tu kwa tume.
 
Chadema jaribuni kuwa na shukrani jamani. Yaani nusu ya rufaa zimekubaliwa lakini bado tu hamridhiki? Hivi mkoje nyie?
 
Haki ya mtu haipotei bure. Hii tume ya magufuli isipotenda haki ijihesabu kuangamia. Ni heri wasingekubali uteuzi. Hizi ni enzi zingine kabisa. Wasididang'anye kulindwa na ccm. Wasubiri kiama chao.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom