Kinky
Member
- May 22, 2014
- 45
- 23
Salaam,
Binafsi sio mgeni hapa Jf, ila hii ni ID yangu mpya.
Kuna jamaa nimemsikia anasema kwamba idadi ya watu walioteuliwa kuwa mawaziri na manaibu waziri katika utawala wa Kikwete kuanzia 2005 hadi sasa (less than 10 years) ni wengi kuliko waliokuwa mawaziri na manaibu waziri katika utawala wa Mkapa na Mwinyi kwa pamoja, naomba mwenye data hizi atumwagie hapa.
Maana jamaa akaendelea kusema kwamba hakuna nchi duniani iliyowahi kuwa na mawaziri wengi katika kipindi kifupi Kama hii Tanzania ya Kikwete.
Tupeni data jamani.
Kinky
Binafsi sio mgeni hapa Jf, ila hii ni ID yangu mpya.
Kuna jamaa nimemsikia anasema kwamba idadi ya watu walioteuliwa kuwa mawaziri na manaibu waziri katika utawala wa Kikwete kuanzia 2005 hadi sasa (less than 10 years) ni wengi kuliko waliokuwa mawaziri na manaibu waziri katika utawala wa Mkapa na Mwinyi kwa pamoja, naomba mwenye data hizi atumwagie hapa.
Maana jamaa akaendelea kusema kwamba hakuna nchi duniani iliyowahi kuwa na mawaziri wengi katika kipindi kifupi Kama hii Tanzania ya Kikwete.
Tupeni data jamani.
Kinky