Idadi ndogo ya udahili wa wanafunzi waliotoka Diploma UDSM inasabishwa na nini?

Johnyy

Member
Dec 21, 2018
93
39
WanaJF

Nafasi za udahali wa wanafunz chuo kikuu cha Dar es salaam sio nyingi kwa pande zote, but kwa dip holders idadi ni finyu zaidi hii inasababishwa na nin? Na vigezo ni vipi.
 
Hata intake ya Fresh from school wale F6 huwa ndogo Sana pale UDSM kwa baadhi ya Programmes!!! Pia wemeweka entry requirements tight kidogo kwa Pass zao za O'level na GPA ya Diploma
 
Ni kama muimbili tu hamuendi wote


Maybe nikutokana na required capacity wanayohitaji na wanayoweza ku hundle
Sio muimbili ni Muhimbili, Hivi mkuu Mfano tuchukue MD kuna chuo chochote hapa Bongo kina admission capacity kubwa ya MD kushinda MUHIMBILI ili hoja yako Iwe na uhalali!?
 
Sio muimbili ni Muhimbili, Hivi mkuu Mfano tuchukue MD kuna chuo chochote hapa Bongo kina admission capacity kubwa ya MD kushinda MUHIMBILI ili hoja yako Iwe na uhalali!?
Japokuwa sijaulizwa Mimi Ila Naomba kujibu, ndio mkuu vipo vyuo vingi Tu ambavyo vina admission capacity kubwa kuliko Muhimbili ila vya private labda kama ulikuwa unaongelea vyuo vya Government
 
Japokuwa sijaulizwa Mimi Ila Naomba kujibu, ndio mkuu vipo vyuo vingi Tu ambavyo vina admission capacity kubwa kuliko Muhimbili ila vya private labda kama ulikuwa unaongelea vyuo vya Government
Okay, mkuu hebu naomba nisaidie hivyo vyuo
 
Sijui sababu za UDSM, lakini mazoea yalikuwa kuona diploma ni elimu ya kambo. Chochote ambacho siyo O-Level+A-Level kinabaguliwa na kutiliwa shaka. GCE+FTC, Certificate+Diploma, VTC, n.k., vyote hivyo ni "mafunzo", na siyo "elimu", kwa mitazamo fulanifulani.
 
Sijui sababu za UDSM, lakini mazoea yalikuwa kuona diploma ni elimu ya kambo. Chochote ambacho siyo O-Level+A-Level kinabaguliwa na kutiliwa shaka. GCE+FTC, Certificate+Diploma, VTC, n.k., vyote hivyo ni "mafunzo", na siyo "elimu", kwa mitazamo fulanifulani.
Vyuo vyetu vimejaa ubaradhuli sana na ukiritimba.

Wanalazimisha kujenga matabaka fulani, ili watu fulani wasisome kitu fulani.
 
Back
Top Bottom