Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,008
- 54,283
Wataalam Wa Jukwaa Hili Na Wale Wote Wanajua Kuhusu Idadi Kamili Ya Majaji
Mahakama Kuu Inatakiwa Kuwa Na Majaji Wangapi Ili Majukumu Yao Yaweze Kwenda Vema .
Na Je Hao Majaji Hufanya Kazi Mikoani Na Kurudi Dar es Salaam Ama Waendapo Mikoani Kwenye Majukumu Huishi Huko
Kuhusu Majaji Wa Mahakama Ya Rufaa Hutakiwa Kuwa Na Majaji Wangapi?
Na Ikiwa Pia Mnajua Viongozi Wa Juu Wa Serikali Wanaotumia Vyeo Vyao Hadi Kwenye Magari Siyo Vibaya Pia Tukawafahamu Kama Majaji Vile Gari Zao Zilivyo Na Vibao Vyenye Vyeo
J 3 = Jaji Wa Tatu
J R = Jaji Wa Mahakama Ya Rufaa
I G P = Inspector General Of Police
Mahakama Kuu Inatakiwa Kuwa Na Majaji Wangapi Ili Majukumu Yao Yaweze Kwenda Vema .
Na Je Hao Majaji Hufanya Kazi Mikoani Na Kurudi Dar es Salaam Ama Waendapo Mikoani Kwenye Majukumu Huishi Huko
Kuhusu Majaji Wa Mahakama Ya Rufaa Hutakiwa Kuwa Na Majaji Wangapi?
Na Ikiwa Pia Mnajua Viongozi Wa Juu Wa Serikali Wanaotumia Vyeo Vyao Hadi Kwenye Magari Siyo Vibaya Pia Tukawafahamu Kama Majaji Vile Gari Zao Zilivyo Na Vibao Vyenye Vyeo
J 3 = Jaji Wa Tatu
J R = Jaji Wa Mahakama Ya Rufaa
I G P = Inspector General Of Police