mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,666
- 3,453
Habari ya wakati huu wakuu...Samahani Mimi kijana makini na maskini nina Simu tajwa hapo juu ambayo wiki iliyopita ilikuwa ikistuck sana mpaka nakosa raha ya kutumia sasa kupita pita kwa rafiki zangu na watu wakaribu nikapewa ushauri ni-reset
Basi nikafanya nikafuta kila kitu majina mpaka Downloaded Apps na simu ikawa Cool...
Sasa tatizo lingine ni hizi Icons za kupiga, Meseji na Majina hazifanyi kazi kabisa ukizigusa zina respond km Kioo cheupe tu baada ya muda zinarudi ilihali Icons zingine zote zinapiga kazi...
Naitaji kufahamu tatizo nini! Maana Pesa yakununua nyingine sina na bado naipenda sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nikafanya nikafuta kila kitu majina mpaka Downloaded Apps na simu ikawa Cool...
Sasa tatizo lingine ni hizi Icons za kupiga, Meseji na Majina hazifanyi kazi kabisa ukizigusa zina respond km Kioo cheupe tu baada ya muda zinarudi ilihali Icons zingine zote zinapiga kazi...
Naitaji kufahamu tatizo nini! Maana Pesa yakununua nyingine sina na bado naipenda sana...
Sent using Jamii Forums mobile app