icharity club

eshaonline

New Member
Jun 18, 2016
4
2
JISAJIRI NA UINGIZE KIPATO

1:Jisajii bure kwenye website ya icharity club
iCharity Club - Registration

2:Changia sh.50,000 ili uji upgrade uingie daraja la 1

3:Waunganishe watu 5 ambao watakuchangia wewe 50,000 kila mmoja na utapata sh.250,000
4:Utatakiwa uji upgrade ili uingie daraja la 2

*Daraja la 2 utachangiwa sh.2,500,000
*Daraja la 3 utachangiwa sh.25,000,000
*Daraja la 4 utachangiwa sh.150,000,000

Utaendelea kuchangiwa mpaka utakapofika daraja la kumi,ikumbumbe kuwa jinsi unavyo jiupgrade ndivyo utakavyo kuwa na uwezo wa kupokea michango zaidi toka kwa wanachama wenzako.
kwa maelezo zaidi piga 0673 455 707
watsup no.0755 931 083
 
Sasa hao watu watano utawadanganya vipi mpaka wakuchangie? By the way ungetu elimisha kwanza kuhusu huu upatu mpya ili tujue sisi wa mwanzo mwanzo tutawaibiaje wengine kabla hawajashituka.
 
Sasa hao watu watano utawadanganya vipi mpaka wakuchangie? By the way ungetu elimisha kwanza kuhusu huu upatu mpya ili tujue sisi wa mwanzo mwanzo tutawaibiaje wengine kabla hawajashituka.

Hii ni DECI iliyofufuka kwa umbo jingine.
 
hizo 50 wananchangia za harusi au nawaambiaje!??

Teh teh teh wewe waambie tuu kuwa wanatakiwa wakuchangie elfu hamsini ili mtaji wako ukue. Kweli wale walioimba "hatunywi sumu hatujinyongi" walijua walichokuwa wanamaanisha maana kwa hali hii mtu unaweza kujikuta umeingia kwenye tairi la Gari sababu kila unachobuni kinabumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom