CHADEMA inatarajia kuanza Operesheni Kubwa nchi nzima kuanzia Jumamosi ya tarehe 4 Agost katika Mkoa wa Morogoro,Iringa,Dodoma,Singida na Manyara kwa siku 44. Baada ya Mikoa hii itakuwa ikiendelea kwa Kanda zilizopangwa tembelea tovuti www.chadema.or.tz kupata ratiba kamili. Ili kufanikisha Harakati za Mabadiliko (M4C) unaweza kuichangia Chadema kwa kutumia M-Pesa kwa kufanya malipo/Bili yako kwa namba ya Kampuni 111333
Hatua za kufuata iliKuichangia CHADEMA
1. Bonyeza *150# Kwenye Namba yako ya simu yaVodacom
2. Chagua huduma Na 4. Lipia bili yako
3. Chagua Na.1 (Ingiza Namba ya Kampuni)
4. Weka namba ya Kampuni ambayo ni (111333)
5. Weka Kumbukumbu ya malipo (Ambayo ni namba yasimu ya Mchangiaji)
6. Weka kiasi (weka kiasi chochote cha fedhaupendacho kuichangia CHADEMA)
7. Weka namba yako ya Siri ya Akaunti yako yaM-Pesa
8. Bonyeza Na.1 kuthibitisha Mchango wako.
Asanthe kwa kuichangia CHADEMA
KUWA WAKALA WA MABADILIKO UNAYOTAKA KUYAONA KATIKA NCHI YAKO.
Hatua za kufuata iliKuichangia CHADEMA
1. Bonyeza *150# Kwenye Namba yako ya simu yaVodacom
2. Chagua huduma Na 4. Lipia bili yako
3. Chagua Na.1 (Ingiza Namba ya Kampuni)
4. Weka namba ya Kampuni ambayo ni (111333)
5. Weka Kumbukumbu ya malipo (Ambayo ni namba yasimu ya Mchangiaji)
6. Weka kiasi (weka kiasi chochote cha fedhaupendacho kuichangia CHADEMA)
7. Weka namba yako ya Siri ya Akaunti yako yaM-Pesa
8. Bonyeza Na.1 kuthibitisha Mchango wako.
Asanthe kwa kuichangia CHADEMA
KUWA WAKALA WA MABADILIKO UNAYOTAKA KUYAONA KATIKA NCHI YAKO.