Ichangie chadema kwa ukombozi wa taifa letu

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
CHADEMA inatarajia kuanza Operesheni Kubwa nchi nzima kuanzia Jumamosi ya tarehe 4 Agost katika Mkoa wa Morogoro,Iringa,Dodoma,Singida na Manyara kwa siku 44. Baada ya Mikoa hii itakuwa ikiendelea kwa Kanda zilizopangwa tembelea tovuti www.chadema.or.tz kupata ratiba kamili. Ili kufanikisha Harakati za Mabadiliko (M4C) unaweza kuichangia Chadema kwa kutumia M-Pesa kwa kufanya malipo/Bili yako kwa namba ya Kampuni 111333
Hatua za kufuata iliKuichangia CHADEMA
1. Bonyeza *150# Kwenye Namba yako ya simu yaVodacom
2. Chagua huduma Na 4. Lipia bili yako
3. Chagua Na.1 (Ingiza Namba ya Kampuni)
4. Weka namba ya Kampuni ambayo ni (111333)
5. Weka Kumbukumbu ya malipo (Ambayo ni namba yasimu ya Mchangiaji)
6. Weka kiasi (weka kiasi chochote cha fedhaupendacho kuichangia CHADEMA)
7. Weka namba yako ya Siri ya Akaunti yako yaM-Pesa
8. Bonyeza Na.1 kuthibitisha Mchango wako.
Asanthe kwa kuichangia CHADEMA

KUWA WAKALA WA MABADILIKO UNAYOTAKA KUYAONA KATIKA NCHI YAKO.

 
Kama wala rushwa na wahuni kama akina zitto,shibuda & co bado wamo ndani ya chama,hakuna haja ya kuchangia
 
CHADEMA inatarajia kuanza Operesheni Kubwa nchi nzima kuanzia Jumamosi ya tarehe 4 Agost katika Mkoa wa Morogoro,Iringa,Dodoma,Singida na Manyara kwa siku 44. Baada ya Mikoa hii itakuwa ikiendelea kwa Kanda zilizopangwa tembelea tovuti www.chadema.or.tz kupata ratiba kamili. Ili kufanikisha Harakati za Mabadiliko (M4C) unaweza kuichangia Chadema kwa kutumia M-Pesa kwa kufanya malipo/Bili yako kwa namba ya Kampuni 111333
Hatua za kufuata iliKuichangia CHADEMA
1. Bonyeza *150# Kwenye Namba yako ya simu yaVodacom
2. Chagua huduma Na 4. Lipia bili yako
3. Chagua Na.1 (Ingiza Namba ya Kampuni)
4. Weka namba ya Kampuni ambayo ni (111333)
5. Weka Kumbukumbu ya malipo (Ambayo ni namba yasimu ya Mchangiaji)
6. Weka kiasi (weka kiasi chochote cha fedhaupendacho kuichangia CHADEMA)
7. Weka namba yako ya Siri ya Akaunti yako yaM-Pesa
8. Bonyeza Na.1 kuthibitisha Mchango wako.
Asanthe kwa kuichangia CHADEMA

KUWA WAKALA WA MABADILIKO UNAYOTAKA KUYAONA KATIKA NCHI YAKO.

Subirini uchaguzi mpitishe bakuli kwenye mikutano ya kampeni, hii ya njia simu acheni tuchangie ujenzi wa mabweni kwa ajili ya watoto wa kike nchini , tazama TBCI Asubuhi hii ili uchangie.
 
Back
Top Bottom