icc

nyasatu

Member
May 15, 2009
72
1
six peoples who are said to be impoRTANT kenya figures including journalist,government officials,senior political figure where named as suspects who took part on 2007 kenya post elections violence,nasikia baadhi wako busy kujieleza ktk press conference and maybe some watajitokeza kiri makosa yao mana nasikia kuna evidence ambazo zinaweka wapeleka the hague,baadhi ya majina ya waliotajwa iambao inasemekana wako kwenye list ncludes mtoto wa kenyata etc.

sasa kwa taarifa hii nimejiuliza je mambo kama haya yatafika lini uku kwetu maana the same group of people who took part in kenya ndo hao hao naowaona hapa kwetu wakileta maafa nabado wanatembea huru na kuzidi toa kauli za nyodo kwa watu.na mtangazaji kamalizia kwa kusema POWER OF PEOPLEEEE,kweli za mwizi arobaini wa kwetu wakae chonjoooooo power of people yaja

Source:CNN
 
SORRY GUYS,
Tittle ya post inatakiwa someka as ICC NAMES SUSPECTS...nme post habari nkiwa na haraka
 
watuhumiwa wa vurugu na mauwaji wakati wa uchaguzi 2007 ni hawa:-

  1. Fransis Muthaura - Head of Civil Servant
  2. William Ruto - Ex Agricaltural Minister
  3. Uhuru Kenyatta - Finance Minister
  4. Henry Kosgei - Industial Minister
  5. Hussein Ali [ex IGP wa polisi]
  6. Joshua Arap Sang - Radio Presenter
 
huyu ocampo hovyo kabisa.yaani anawezaje kumuacha mwai kibaki na RAILA kwenye hiyo list kama sio upumbavu..hili zee nalo ni lijizi tu
 
watuhumiwa wa vurugu na mauwaji wakati wa uchaguzi 2007 ni hawa:-

  1. Fransis Muthaura - Head of Civil Servant
  2. William Ruto - Ex Agricaltural Minister
  3. Uhuru Kenyatta - Finance Minister
  4. Henry Kosgei - Industial Minister
  5. Hussein Ali [ex IGP wa polisi]
  6. Joshua Arap Sang - Radio Presenter

thanks kw ahii list ulipotaja uyo rasio presenter nmemkumbuka yule jamaa wa clouds aliekua akitajwa tajwa sanaaa kumshabia JK,ikiwemo na TBC etc,na ktk iyo sekta ya police najua wanausalama kadhaa wahakosi humo
 
Back
Top Bottom