nyasatu
Member
- May 15, 2009
- 72
- 1
six peoples who are said to be impoRTANT kenya figures including journalist,government officials,senior political figure where named as suspects who took part on 2007 kenya post elections violence,nasikia baadhi wako busy kujieleza ktk press conference and maybe some watajitokeza kiri makosa yao mana nasikia kuna evidence ambazo zinaweka wapeleka the hague,baadhi ya majina ya waliotajwa iambao inasemekana wako kwenye list ncludes mtoto wa kenyata etc.
sasa kwa taarifa hii nimejiuliza je mambo kama haya yatafika lini uku kwetu maana the same group of people who took part in kenya ndo hao hao naowaona hapa kwetu wakileta maafa nabado wanatembea huru na kuzidi toa kauli za nyodo kwa watu.na mtangazaji kamalizia kwa kusema POWER OF PEOPLEEEE,kweli za mwizi arobaini wa kwetu wakae chonjoooooo power of people yaja
Source:CNN
sasa kwa taarifa hii nimejiuliza je mambo kama haya yatafika lini uku kwetu maana the same group of people who took part in kenya ndo hao hao naowaona hapa kwetu wakileta maafa nabado wanatembea huru na kuzidi toa kauli za nyodo kwa watu.na mtangazaji kamalizia kwa kusema POWER OF PEOPLEEEE,kweli za mwizi arobaini wa kwetu wakae chonjoooooo power of people yaja
Source:CNN