ICC-ICA Rules zinaruhusu review ya tuzo na mchakato?

Shomoro, pesa zetu, ni zile pesa za kodi, hizi huwa haziruhusiwi kutumika mpaka wawakilishi wetu wakubali pale bungeni ndio maana zinapelekwa kuombwa kwa jina la bajeti na kupitishwa na ndipo hutumika.

Waziri wa fedha keshasema, bejeti ya kulipa fedha hizo, haitoki hazina, hivyo hilo ni zigo la Tanesco, na kwa Tanesco ninayoijua mimi, iko chapa lapa, haina uwezo wa kulipa bila kukopa. Kwa vile wenye nchi wameshasema tutalipa, na sio hazina ndiye atayelipa bali ni Tanesco, na bili ya umeme haipandi, sasa mna wasiwasi gani?.

Jamani nyie wenzangu mbona wagumu kuelewa tuu haka ka mchezo!. Anayedaiwa kasema analipa kwa roho nyeupe, bado hamuelewi tuu?.

Naomba ufafanuzi kwako.

Tanesco walisubiri maoni ya serikali kuhusu hukumu. Mwanasheria mkuu akaisoma hukumu na kuikubali. Waziri akatangaza kulipa kwa ushauri wa Mwanasheria mkuu. CC ya ccm imeamua deni lilipwe sijui kwa mandate ipi waliyonayo kikatiba.

Hayo yote hapo juu ongeza na kupanda bei ya umeme huoni sisi tunahusika moja kwa moja?
 
Sema kwa mfano baada ya hukumu na kabla ya malipo new facts zinatokea ambazo ni muhimu katika hukumu na zilifichwa kwa makusudi ili kunufaisha upande mmoja aliyedhuriwa ana recourse gani ya kisheria in light of 'no appeal clause'?

Tuwekee hata kama kwa ajiri ya "great minds" digestion. After all in either case we impacted.
 
Sema kwa mfano baada ya hukumu na kabla ya malipo new facts zinatokea ambazo ni muhimu katika hukumu na zilifichwa kwa makusudi ili kunufaisha upande mmoja aliyedhuriwa ana recourse gani ya kisheria in light of 'no appeal clause'?

mmmmmm, hiyo ngumuu

bila appeal, sijui?

sema itatusaidia sisi kuondoa serikali madarakani kwa urahisi sana
 
Kinachoongoza usajili wa hukumu hiyo ni sheria zetu na wala siyo za msuluhishi ambaye naye katika uamuzi wake alidai alitumia sheria zetu jambo ambalo siyo kweli hata kidogo..................................

Sheria zetu za usuluhishi zinaipa mahakama kuu mamlaka ya kisheria kupitia upya tuzo na kuiboresha kama kuna maombi ya kufanya hivyo na kama itaona haki itatendeka kwa kufanya hivyo.................................

Hili hata Mzee wetu mwenye busara nyingi Sitta amekwisha toa angalizo kabisa....................

So go ahead Mzee Mwanakijiji....................................you are not late and time is on your side...................................

Usibabaishwe na JK na CC yake kwa sababu wao siyo wamiliki wa nchi hii..........wao ni wawakilishi wetu ambao wakati wowote ule tukichoka nao tunaweza kuwafungisha virago, kuwashitaki kwa makosa ya uhujumu uchumi na hata hatimaye kuwafunga vifungo virefu sana na wakawa mfano wa kutoigwa na viongozi wengineo kwa siku zijazo.....................na vizazi vijavyo vikatukumbuka kwa vitendo hivi vya kijasiri na vyenye utashi mkubwa......................

Ruta,

Tafadhali usimislead watu ndugu judicial review inawezekana but kurevoke au rebuke decision ya ICC hilo haliwezekani maana tulishajifunga tulipoingia ule mkataba wa kusema maamuzi ya ICC ni ya mwisho. Hebu nionyeshe wapi tunaweza kulifanya hilo nitafurahi sana nikipaona ndugu yangu otherwise we can only have a judicial reveiw hoping kwamba kuna some new evidence zimetokea, rushwa imetembea ambalo linaweza kuimpair decisions za arbitrators katika hii kesi.

Naomba unirekebishe kama nimekosea mahali.
 
Shomoro, pesa zetu, ni zile pesa za kodi, hizi huwa haziruhusiwi kutumika mpaka wawakilishi wetu wakubali pale bungeni ndio maana zinapelekwa kuombwa kwa jina la bajeti na kupitishwa na ndipo hutumika.

Waziri wa fedha keshasema, bejeti ya kulipa fedha hizo, haitoki hazina, hivyo hilo ni zigo la Tanesco, na kwa Tanesco ninayoijua mimi, iko chapa lapa, haina uwezo wa kulipa bila kukopa. Kwa vile wenye nchi wameshasema tutalipa, na sio hazina ndiye atayelipa bali ni Tanesco, na bili ya umeme haipandi, sasa mna wasiwasi gani?.

Jamani nyie wenzangu mbona wagumu kuelewa tuu haka ka mchezo!. Anayedaiwa kasema analipa kwa roho nyeupe, bado hamuelewi tuu?.

really? ivi bado unaiamini hii serikali yetu? bajeti hata ikiwa na kasoro kiasi gani nani atazuia isipitishwe? hata kama ikisema wazi kuwa hela inaenda tanesco nani atazuia bungeni?
 
Ruta,

Tafadhali usimislead watu ndugu judicial review inawezekana but kurevoke au rebuke decision ya ICC hilo haliwezekani maana tulishajifunga tulipoingia ule mkataba wa kusema maamuzi ya ICC ni ya mwisho. Hebu nionyeshe wapi tunaweza kulifanya hilo nitafurahi sana nikipaona ndugu yangu otherwise we can only have a judicial reveiw hoping kwamba kuna some new evidence zimetokea, rushwa imetembea ambalo linaweza kuimpair decisions za arbitrators katika hii kesi.

Naomba unirekebishe kama nimekosea mahali.
Hebu pitia hizi sheria zetu kuhusiana na arbitration halafu uniambie ni wapi nimekosea...............I am only stating facts, man............

arbitration1.jpg
 
Ninaimani kile kiswahili cha bla-bla sasa kimekwisha.....................Mahakama Kuu ina mamlaka ya kufanya cho chote kile ili kulinda haki za pande mbili husika kwa hiyo hoja kuwa nilimpotosha Mzee Mwanakijiji inazikwa na sheria hizi....................

Ukumbuke Msuluhishi alisigina sheria yetu ya manunuzi jambo Mahakama Kuu kamwe haitabariki matendo ya watendaji serikalini ambayo ni yaangukia makosa ya uhujumu uchumi na kuyabariki kama ni sababu ya kuidharau sheria tajwa.................

arbitration1.jpg
 
Mzee mwakijiji umetutamanisha, tuondolee hamu hii au kiu hii kwakutuambia ulicho kion au kukingundua ili tupate picha halisi. Natamani niseme kitu lakini nashindwa kwa kuwa naona kama iko juujuu mno. Nikama kitendawili au fumbo hebu tuweke wazi mtu mzima maana tuko kwenye harakati ya utafiti kama vile tunataka kupata dawa ya ukimwi kwahiyo tupatapo dalilifulanifulani ambazo tunhisi inaweza saidia wote tuna considerate hapo please tupe ili tushee vizuri.
 
Hebu pitia hizi sheria zetu kuhusiana na arbitration halafu uniambie ni wapi nimekosea...............I am only stating facts, man............

arbitration1.jpg

Sawa mkuu but hebu zisome hizo sheria mkuu wapi imekuwa stated kuwa mahakama kuu inaweza kufuta au kutupilia mbali maamuzi ya ICC iwapo vipengele vyote vimetimia? Kumbuka Dowans hawajakosea kitu in the eyes of the law sasa hebu nifafanulie vp mahakama kuu inaweza kuzuia hayo maamuzi?
 
kwenye kifungu hiki cha sheria tunajifunza ya kuwa...............ile sheria Na. 16 ya Arbittration is still binding na kwa hivyo kuipa mahakama kuu mamlaka makubwa ya kutenda haki kama itaona inafaa....................


arbitration2.jpg
 
Ninaimani kile kiswahili cha bla-bla sasa kimekwisha.....................Mahakama Kuu ina mamlaka ya kufanya cho chote kile ili kulinda haki za pande mbili husika kwa hiyo hoja kuwa nilimpotosha Mzee Mwanakijiji inazikwa na sheria hizi....................

Ukumbuke Msuluhishi alisigina sheria yetu ya manunuzi jambo Mahakama Kuu kamwe haitabariki matendo ya watendaji serikalini ambayo ni yaangukia makosa ya uhujumu uchumi na kuyabariki kama ni sababu ya kuidharau sheria tajwa.................

arbitration1.jpg

Ruta,

Kuna kitu kimoja labda ndugu yangu hukielewi unaweza kuwa na haki lakini katika macho ya sheria ukawa huna haki je nikuulize sheria za manunuzi zinasemaje? Na je Dowans wamevunja kipengele kipi cha sheria ya manunuzi zaidi ya viongozi wetu kulazimisha wapewe wao mkataba?
 
kwenye kifungu hiki cha sheria tunajifunza ya kuwa...............ile sheria Na. 16 ya Arbittration is still binding na kwa hivyo kuipa mahakama kuu mamlaka makubwa ya kutenda haki kama itaona inafaa....................


arbitration2.jpg

But mkuu,

Mahakama kuu itatenda haki ya kisheria na sio kinadharia sijui umenifahamu hapo?
 
kwenye kifungu hiki cha sheria ya Arbitration tunaona ya kuwa bado upo mwayna mkubwa wa kuhoji lolote lile ambalo Malalamikaji anaona hajatendewa haki..................................Vifungu 30(1) (a) na 30 (2) (c) vinaipa mahakama Kuu kuweza kuhoji kama TUZO iliyotolewa iliheshimu sheria za nchi kama vile ya manunuzi au al......jibu likiwa hapana Mahakama kuu yaweza kuamua kuitengua TUZO tajwa na kusawazisha makosa ya TUZO hiyo au kufanya maamuzi mengineyo yoyote yale ili mradi haki itendeke.............

arbitration3.jpg
 
Mlalamikaji pia unalindwa na kifungu cha sheria na...32....................na hivyo waweza kuiomba Mahakama Kuu ifanye yafuatayo.....kwa kuwa pamoja na TUZO hii ilitolewa nje ya nchi hii lakini ilitumia sheria za nchi hii hivyo mapingamizi yoyote yale kwenye Mahakama KUU kunafanya TUZO hiyo kupoteza sifa ya kuwa.............."final and conclusive"..............


arbitration4.jpg
 
kwenye kifungu hiki cha sheria ya Arbitration tunaona ya kuwa bado upo mwayna mkubwa wa kuhoji lolote lile ambalo Malalamikaji anaona hajatendewa haki..................................Vifungu 30(1) (a) na 30 (2) (c) vinaipa mahakama Kuu kuweza kuhoji kama TUZO iliyotolewa iliheshimu sheria za nchi kama vile ya manunuzi au al......jibu likiwa hapana Mahakama kuu yaweza kuamua kuitengua TUZO tajwa na kusawazisha makosa ya TUZO hiyo au kufanya maamuzi mengineyo yoyote yale ili mradi haki itendeke.............

arbitration3.jpg

Mkuu,

Naona unarudi kule kule kwa Fareed kuwa this is a never ending story je Dowans wamevunja sheria ya manunuzi? Jibu hapana?

Je ICC walipitia sheria za manunuzi? Jibu ni ndio.

Je ICC waliona kuna ukiukwaji wa sheria katika utaratibu wa Dowans kupewa kazi? Jibu hapana sasa naomba unijibu je Mahakama kuu wamepinge kwa kigezo kipi? Hisia za watanzania?
 
Na hizi 'remedies" kama vile hazitoshi bado Mlalamikaji umepewa haki kebekebe kama hii ya kifungu cha ....14 cha sheria ya usuluhishi.....................na hivyo waweza kuiomba Mahakama Kuu tena ifanye yafuatayo ili kuhakikisha si haki inatendeka tu bali ionekane ikitendeka............Unaweza kuiomba yule msuluhishi aenguliwe na hivyo msuluhishi mwingine kuteuliwa kama kuna uhaja wa kufanya hivyo ukizingatia ya kuwa mikataba hii hudai kwanza msuluhishi awe amemaliza kazi yake kabla ya kubishania kwenye Mahakama Kuu.........

arbitration5.jpg
 
Mkuu,

Naona unarudi kule kule kwa Fareed kuwa this is a never ending story je Dowans wamevunja sheria ya manunuzi? Jibu hapana?

Je ICC walipitia sheria za manunuzi? Jibu ni ndio.

Je ICC waliona kuna ukiukwaji wa sheria katika utaratibu wa Dowans kupewa kazi? Jibu hapana sasa naomba unijibu je Mahakama kuu wamepinge kwa kigezo kipi? Hisia za watanzania?

Wewe naona ni mbabaishaji.....................Msuluhishi alikiri kabisa sheria yamanunuzi ilikiukwa.........................sina muda wa kuinukuu tena hapa..........usiwe unabisha vitu kumbe hata groundwork hujaifanya...............go and read..................i can't do that for you...............

Actually you are wasting my precious time...................
 
Wewe naona ni mbabaishaji.....................Msuluhishi alikiri kabisa sheria yamanunuzi ilikiukwa.........................sina muda wa kuinukuu tena hapa..........usiwe unabisha vitu kumbe hata groundwork hujaifanya...............go and read..................i can't do that for you...............

Actually you are wasting my precious time...................

Hebu nionyeshe wapi alikiri maana niliisoma vizuri ile hukumu zilikiukwa taratibu but sio sheria ndugu.
 
Back
Top Bottom