Elections 2015 ICC alichomoka Kenyatta na kesi ya mauaji sembuse Magufuli?!!

bahati mbaya tu hawakutokea wa kuwathibitisha uhalifu wake!!
Hakuna bahati mbaya kama hii duniani.
Hawakutokea sababu ilikuwa lazima wasitokee. Huo ulazima wa kutotokea ulisababishwa na watuhumiwa na genge lao.
 
Kuna maambo yanachekesha kabisa nasikia kuna mtu anatapa tapa kwamba ataenda ICC kushtaki, ni kwa kosa lipi alilofanya Magufuli?

Nasikia mwingine huko zanzibar ameanza kuzurura nje eti subirini nitakuwa rais tu,

Kwanza kama hamjui maazimio tuliyonayo ni kwamba,

1.Uongozi huu hatutadekeza wapinzani mambo ya kijinga kwamba sijui jumuia za kimataifa sijui nini kwanza safari zote zitapigwa marufuku,

2. Alafu nacheka unaposikia vibalozi hata vya nchi ambazo hazijawahi toa msaada wa maana , hao wote tutafukuza hata awe mwakilishi wa UN sijui EU ,ni zamu ya Tanzania kutambulika kimataifa,

3. Wapinzani mnachekesha sana sasa uje ugundulike kuwa una side na watu wa nje kutuhujumu utajuta, maana kuna watu kama Kina zitto kabwe wanadanganywa danganywa na wazungu wanadhani tutawaacha?? Vunja vunja na kuweka gerezani, Tanzania inahitaji kunyooka, naomba Magufuli uyafanye baada ya kuapishwa haya,

3.Eti Tutashitakiwa ICC hahahahaha nacheka sana, nakuibia siri kwamba hata huko ICC hamtaenda hata mkianza kujifanya mnatumia mahakama za ndani hizo tunaweka watu na kuwapa maagizo,

4. Wale wote waliokuwa wanafanya kazi ndani ya CCM waliojulikana ,lakin kuna ambao tunao vyama vya upinzani ni CCM mashushushu ndani yenu, wote watarejea hata wawe wabunge watarejea tu, ila wa kada kama mahakama polisi na jeshi hao tunawaacha bado tuna kazi nao sana,

5. Yaan huyu rais tuliopata hatishwi na yeyote ni Bulldozer , ndo maana kikwete anasema atapumzika vema,

Msijidanganye hata kidogo kwamba kuna mtu anawaogopa hao, hatuna kosa lolote, amechomoka kenyatta sembuse magufuli,

Nina imani atawapa kazi majembe kama Nape, Mwigulu, Kigwangala, Muhongo atashika nafasi nyeti sana

Mungu Ibariki Tanzania
mtoto wa mujini Uhuru hakuwahi kujifanya kutunishiana vimisuli vyake vya mende na wababe wa magharibi...

mtindiga huyu hapo hatapona hata afanyeje!!
 
Mkuu, pale unaongea lugha yoyote uijuayo ama upendayo kuitumia na wao watachukua jukumu la kutafuta mtu atakaye tafsiri ili mambo yaende sawa, hivyo kujua ngeli sii tija mkuu
Yes maana hata rais wa korea akienda halazimishwi kutumia English
 
mtoto wa mujini Uhuru hakuwahi kujifanya kutunishiana vimisuli vyake vya mende na wababe wa magharibi...

mtindiga huyu hapo hatapona hata afanyeje!!
Hakuna wa kwenda ICC TZ hii & bado hajatokea, msipotoshe umma
 
Sasa nyie si wasenge tuu ata maji kijijni kwanhu ni shida nakunywa dimbwi moja na ng'ombe kodi natoa mnajenga dar. Na ilaaaniwe CCM mpaka kiama hatumwezi miaka 50+ ya Uhuru mambo ni yaleyale..
 
Hilo nalikubali tatizo anaumia wrong approaches ku tackle different problems, badala ya ku solve tatizo inaongeza tatizo maradufu. Pia matamshi yake tata kiuchumi yamekimbiza wawekezaji wengi, ambayo ni umuhimu kwa uchumi wetu. Akirekebisha baadhi ya mambo yuko vzuri anapenda mabadiliko na dhamira yake ni safi atengeneze mifumo ya ku deal na mambo yaende effective. Hata Kuna alio wapa dhamana Wana mu let down hawataki kujituma mpaka a waelekeze ndo watende hao si mizigo.
Jpm alifaa kuwa waziri mkuu sio kuwa raisi ana ukibuli fulani ndo unamponza unajua unaweza deal na wazungu indirect na wasijue kama unawachukia sasa yeye kapigisha watu penalt kwenye mabiashara then hela za mwaka mmoja zimemzuzua kaanza kujiona tajiri(dona kantry?)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa nikiona live sura yake inaongea mengi. Anahtaji msaada
Jpm wetu ameshaanza kuogopeshwa na uelekeo wa taifa siku hizi anaongea kwa tone ya chini utafikili kuna mtu amemtisha.Pia mvi zimeongezeka sana na pia makunyazi ya sura yenye stress yameongezeka usoni mwake.
TATIZO BABA YETU ANATOA MAAMUZI KUTOKANA NA INFORS ANAZOPEWA NA TISS TU ALITAKIWA ATUMIE WATAALAM WA FIELD HUSIKA MFANO KOROSHO ALITAKIWA AWAKALISHE CHINI SEKTA YA KILIMO NA BIASHARA YEYE AJE KUTANGAZA KILICHOKUBALIWA KUPOROMOKA KWA TSH YETU NI KIKAO KATI YA MA EXPERT WA BOT NA WACHUMI WAJE NA HATUA MADHUBUTI NA KWA VILE ANAOGOPEKA ALITAKIWA VIKAO VYOTE YEYE ASIWEPO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maambo yanachekesha kabisa nasikia kuna mtu anatapa tapa kwamba ataenda ICC kushtaki, ni kwa kosa lipi alilofanya Magufuli?

Nasikia mwingine huko zanzibar ameanza kuzurura nje eti subirini nitakuwa rais tu,

Kwanza kama hamjui maazimio tuliyonayo ni kwamba,

1.Uongozi huu hatutadekeza wapinzani mambo ya kijinga kwamba sijui jumuia za kimataifa sijui nini kwanza safari zote zitapigwa marufuku,

2. Alafu nacheka unaposikia vibalozi hata vya nchi ambazo hazijawahi toa msaada wa maana , hao wote tutafukuza hata awe mwakilishi wa UN sijui EU ,ni zamu ya Tanzania kutambulika kimataifa,

3. Wapinzani mnachekesha sana sasa uje ugundulike kuwa una side na watu wa nje kutuhujumu utajuta, maana kuna watu kama Kina zitto kabwe wanadanganywa danganywa na wazungu wanadhani tutawaacha?? Vunja vunja na kuweka gerezani, Tanzania inahitaji kunyooka, naomba Magufuli uyafanye baada ya kuapishwa haya,

3.Eti Tutashitakiwa ICC hahahahaha nacheka sana, nakuibia siri kwamba hata huko ICC hamtaenda hata mkianza kujifanya mnatumia mahakama za ndani hizo tunaweka watu na kuwapa maagizo,

4. Wale wote waliokuwa wanafanya kazi ndani ya CCM waliojulikana ,lakin kuna ambao tunao vyama vya upinzani ni CCM mashushushu ndani yenu, wote watarejea hata wawe wabunge watarejea tu, ila wa kada kama mahakama polisi na jeshi hao tunawaacha bado tuna kazi nao sana,

5. Yaan huyu rais tuliopata hatishwi na yeyote ni Bulldozer , ndo maana kikwete anasema atapumzika vema,

Msijidanganye hata kidogo kwamba kuna mtu anawaogopa hao, hatuna kosa lolote, amechomoka kenyatta sembuse magufuli,

Nina imani atawapa kazi majembe kama Nape, Mwigulu, Kigwangala, Muhongo atashika nafasi nyeti sana

Mungu Ibariki Tanzania

Azory,aliyehoji Prajarism ya PHD yake! Pesa za watu wa bureau de chnge Dar na Arusha!!! Kutumia pesa bila kufuata budget
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom