Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Mkuu nimefuatilia kuona hii thread ni ya lini... naona ni ya October 2015. Huyu jamaa ana nyota ya utabiri au anamjua vilivyo bwana mkubwa au ndie mshauri wake mkuu. Ila hapo kwenye majembe aliyoyataja ni kweli aliwakumbuka lakini naona wametumbiliwa kabakia mmoja... je yawezekana naye atatumbuliwa?? Au mkubwa kaanza kwenda kinyume na mtabiri/mshauriAisee...yanatokea nukta kwa nukta.
Wakuu Malcom Lumumba chige Sky Eclat Asprin BAK Mwifwa Pascal Mayalla
Mnayaina haya?
Ila kwa namna bwana mkubwa anavyoendesha gari lake ni rahisi sana kutabiri yatakayofuata. Huhitaji kuwa mtabiri mahiri kutabiri atakachokifanya baada ya tukio fulani kutokea...
Muda utatupa majibu zaidi...