Ibrahim Mussa Ndiye Mkurugenzi Mpya wa Utalii Tanzania

Wana JF kama tutaanza kuangalia Rangi nafikiri sasa tumekwisha, Kwani Rangi ya huyu na Shivji zinatofautiana nini?

Prof Shivji anarangi ya kiasia lakini moyo na damu yake ni ya kizalendo zaidi ya wazalendo wengi tu!
 
Sht!!! I dnt wanna tok of racism, udini wala kingne.. I just dnt get a notion out of ths bulsht.. Is tha przdnt fair?
 
Tumwache achape kazi, tumpime uwezo wake ndani ya miezi sita. sina tatizo na rangi yake, kama ni kwa uwezo wake wa kuchapa kazi time will tell.
 
Aliyewahi kuumwa na nyoka akiona ujani tu anashtuka.. Haya yote yameletwa na RA. Kwa sasa hivi maswali ni mengi sana kwa chochote atakachofanya dokta sijui..amepoteza credibility yote katika macho ya wazalendo wa nchi hii. Every move ya huyu mtu ni 'suspecious'..
 
Mkuu nakushukuru umenisaidia kujibu kuna mtu aliniuliza ana historia gani . Lakini ameanza kazi siku nyingi sana na alihamishiwa Idara ya Utalii kwa umuhimu wake . He is very active man ( Mchapakazi). Sio kama amepachikwa katika hiyo post alipitia nafasi mbalimbali na kabla ya kuwa mkurugenzi kamili alikuwa ni Mkurugenzi Msaidizi (Tafiti,Mafunzo na Takwimu) . Ni Mzaliwa wa Kigoma
 
Mkuu nakushukuru umenisaidia kujibu kuna mtu aliniuliza ana historia gani . Lakini ameanza kazi siku nyingi sana na alihamishiwa Idara ya Utalii kwa umuhimu wake . He is very active man ( Mchapakazi). Sio kama amepachikwa katika hiyo post alipitia nafasi mbalimbali na kabla ya kuwa mkurugenzi kamili alikuwa ni Mkurugenzi Msaidizi (Tafiti,Mafunzo na Takwimu) . Ni Mzaliwa wa Kigoma


kwahiyo ni MUHA?....L.O.L
 
PPort_Ibra.jpg


Source:MICHUZI: NEWS ALERT: IBRAHIM MUSSA NDIYE MKURUGENZI MPYA WA IDARA YA UTALII

Mwache aendeleze udini! Awajaze tu kila mahali.
 
Unfortunately nina negative attitude na watumishi wa serikali waliokaa kwa muda mrefu.. maana wengi ni wale wakiritimba tu na kuchukulia kila kitu kama faili
 
Naomba nianze kwa kupingana tena kwa sauti kubwa na wale wote wanaohoji juu ya Uraia wa Musa. Binafsi namfahamu kwa kiwango cha kumtetea. Musa ni MZALENDO WA KWELI, mwenye UTANZANIA WA ROHONI na si wa kwenye NGOZI. Ni mtu asiyejikweza (extremely social). Nikiwa kama mdau katika wizara husika, kwa miaka kama mitatu mfululizo nahudhuria the Meeting of Executives wa MNRT. Ripoti za utendaji wa Musa zimekuwa hazina mawaha wala uswahili. Hata shauri zake kwenye mikutano hiyo mara zote zinakuwa na mtazamo wa Kizalendo na Kimaendeleo. Binafsi ningefarijika tupate watu wengi wa jinsi ya Musa wanakubali kuingia serikalini na kulitumikia Taifa kwa Uadilifu Mkubwa. Mungu amwongoze vema katika nafasi yake mpya.
 
Ni Mtanzania tena mzalendo ndugu yangu . Ana historia ndefu katika utumishi wa Umma . Kwakweli ni mchapakazi sana. Personally namfahamu sana .

Rangi zetu hizi zinatuponza mkuu wanaona bora mtu mweusi hata asiwe mtanzania kuliko mtanzania mwenye asili ya kiasia kushika nyadhifa serikalini. Kuna mada moja niliiona sehem sehemu ilikuwa ikiuliza mbona siku hizi hakuna watu wa aina kama Ibrahim Musa? Watu walitoa michango yao mingi lakini mimi nasema tunaogopa!

Nina amini kuwa wapo waasia kama Prof Shivji ni watu waadilifu na ndio maana watu hawa waadilifu aghalabu kuwa na post kama za AG watawala huwa wanataka "good boys" mtu kama Shivji sidhani kama anaweza kulishwa maneno au vitu ambavyo "ethics" za kisheria hazimruhusu na akakubali kwa ajili ya kutetea unga wake siamini na nitakufa kutoamini hivyo ingekuwa Shivji ni AG wa wakati wa Mkapa nina imani asingefanya ambayo leo yanaigharimu nchi. Na nina amini wapo Watanzania wasiokuwa wazalendo lakini hakuna anaesema kwakuwa ni tu ni mweusi mwenzao. Hii dhana ya huyu ni mwenzetu "mweusi mwenzetu" haitalipeleka taifa popote huyo mweusi mwenzetu akijinufaisha wewe unanufaika na nini? Eleweni kuwa ikiwa kutatokea shida yoyote basi watanzania waasia na watanzania wamatumbi wote wataionja iwe shubiri au mwarubaini! Kwani mgao wa umeme unakatika kwa waasia peke yao? TAFAKARI.
 
naomba nianze kwa kupingana tena kwa sauti kubwa na wale wote wanaohoji juu ya uraia wa musa. Binafsi namfahamu kwa kiwango cha kumtetea. Musa ni mzalendo wa kweli, mwenye utanzania wa rohoni na si wa kwenye ngozi. Ni mtu asiyejikweza (extremely social). Nikiwa kama mdau katika wizara husika, kwa miaka kama mitatu mfululizo nahudhuria the meeting of executives wa mnrt. ripoti za utendaji wa musa zimekuwa hazina mawaha wala uswahili. Hata shauri zake kwenye mikutano hiyo mara zote zinakuwa na mtazamo wa kizalendo na kimaendeleo. Binafsi ningefarijika tupate watu wengi wa jinsi ya musa wanakubali kuingia serikalini na kulitumikia taifa kwa uadilifu mkubwa. Mungu amwongoze vema katika nafasi yake mpya.

huwezi kunielewa mimi kondakta wa daladala....
 
Mungu amsaidie yeye na familia yake! siku hizi Tanzania wala hatuna haja ya kufurahia eti fulani kashika wadhifa fulani...so what???? hata ukiwa mwadilifu Tanzania ya leo bado utaingizwa na kumezwa na huu mfumo wa kifisadi na kuanza kuwalamba viatu. Ni pale tu tutakapo jikomboa wananchi wenyewe kwa kutumia nguvu yetu aka peoples power

khaaaaaa.kateuliwa na nani??? hivi jamani??? mi sielewi ...nikisema ntaonekana mdini..Ibrahimu Mussa huyu ni dini ile ya rais au?
 

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Amemteua Ibrahim Mussa Kuwa mkurugenzi wa Idara ya Utalii kwanzia 01 February 2011.Uteuzi Huo Ameufanya kwa Mujibu wa kifungu cha 6 (1) B Cha Sheria ya Utumishi wa Umma Na 8 ya Mwaka 2002
Ibrahimu Mussa (53)ni mtumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii kwanzia Mwaka 1983 hadi sasa ambapo alifanya kazi kwenye ngazi mbalimbali ,katika idara ya misitu na idara ya utalii.kabla ya kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa idara ya utalii,Ibrahim Musa alikua mkurugenzi msaidizi anaesimamia utafiti,takwimu namafunzo katika idara ya utalii
Bw ibrahim Mussa Ana Shahada ya Uzamili(international Tourism Management)aliyoipata mwaka 2005 kutoka chuo cha Sheffield nchini uingereza,Bw ibrahim Mussa anachukua nafasi ya Ukurugenzi wa idara ya Utalii kutoka kwa Maria Mmari ambaye amepangiwa kazi nyingine.Habari hii na Tulizo Kilaga -Wizara ya Maliasili na Utalii

Source: Haki Ngowi
 
huwezi kunielewa mimi kondakta wa daladala....

Usiogope hilo neno. Kwa Kiswahili, tafsiri isiyorasmi, ni MKUTANO WA WATENDAJI wa Wizara ya Maliasili na Utalii. Mkutano huu uwashirikisha wadau toka Taasisi, Mashirika, na Kampuni yanohusika na kuathirika na maamuzi ya kisera katika sekta ya Maliasili na Utalii. Hapo vipi umenielewa?
 
khaaaaaa.kateuliwa na nani??? hivi jamani??? mi sielewi ...nikisema ntaonekana mdini..Ibrahimu Mussa huyu ni dini ile ya rais au?


Kwa mwendo huo sijui kama tutafika anyway katika katiba mpya watu wa dini ya JK wasiruhusiwe kuitumikia Serikali full stop.
 
tatizo la wana jf tunataka mtu labda atoke ndani ya jf ndio tuta mkubali,na tuelewe kuwa hata kazi ya ukurugenzi hajaianza tumesha anza kuulizia kama ni mtanzania mmesahau kuulizia kama ni mwislamu msizunguke ulizeni na hilo mlidhike

msema ukweliiii hapendwiiii daimaaaaa:clap2:
 
khaaaaaa.kateuliwa na nani??? hivi jamani??? mi sielewi ...nikisema ntaonekana mdini..Ibrahimu Mussa huyu ni dini ile ya rais au?

dini yake walikuwa wachache sana walioshika hatamu anataka abalansishe twende sawa kwa sawa
 
Back
Top Bottom