sinyora
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 966
- 1,622
kumbeKayumba yupo kwenye game tangu 2016
kumbeKayumba yupo kwenye game tangu 2016
Yap ni mshindi wa BSS 2015 au 2016 kama sikoseikumbe
Then si umuweke/mtaje mbona ulikuwa unazunguka sana.Sasa kama Ibraah akiwa best new comer Zuchu nae utamweka wapi? Manake Zuchu na Ibraah wametoka ndani ya mwezi mmoja tofauti siku.
Kwangu Zuchu sio msanii chipukizi wala Ibra wote mwezi wa nne mwakani wanatimiza 2yrs.Then si umuweke/mtaje mbona ulikuwa unazunguka sana.
Kila mtu ana sikio Lake kutokana na jinsi msanii huyo alivyomkosha.
Wewe unasema zuchu basi nini shida?
Sasa tukuelewe vipi?Kwangu Zuchu sio msanii chipukizi wala Ibra wote mwezi wa nne mwakani wanatimiza 2yrs.
Category ya msanii chipukizi inatakiwa awe, Lord Music, Mac Voice, Angela nk sababu wote wamefanya vizuri ndani ya mwaka huu.
Halafu ni kwambie kitu hamna msanii yule anaanza vupu na kuanza kung'aa kwenye game, lazima atasota ww huko YouTube inaweza mchukua miaka hata mitano, then mwaka wa sita kama akifanya vizuri ndani ya game, ndani ya mwaka huo huyo msanii ndani game ataitwa chipukizi, so hata huyo Mac Voice ni Chipukizi.
Mimi kuna wasanii kibao na wajua wana channel youtube, wanaimba kama back vocal kwenye show za wasanii wengine, ila siku wakitoka na kufanya vizuri mwaka fulani still ataitwa chipukizi kwenye game.
Kiba kasota wee hit song yake yy ya kwanza ni 2007 Cinderela so kwa mwaka huo alikuwa chipukizi, Mondi kasota 2009 hit song yake ya kwanza kamwambie ndani ya mwaka huo 2009 Mondi alikuwa msanii chipukizi aliye fanya vizuri.
Hivi unajua maana ya neno chipukizi? Huyo Mac Voice miaka mitano ni ya msoto na waliokuwa wakimjua walikuwa wachache.Sasa tukuelewe vipi?
Umesema ibrah na zuchu sio underground sababu wana miaka miwili kwenye game.
Halafu hapo hapo umedai kuwa hata Kama mac voice ana miaka mitano bado unamuona underground.. 😀😀
Sasa yupi ni underground, mwenye miaka miwili au mitano kwenye game,?
Hebu mtu atusaidie hapa. 🙌🏾🙌🏾
3🔥1.RAPCHA
2.IBRAH
3.LODY MUSIC
4.DAYOO
kuna kitu nimegundua hapaHivi unajua maana ya neno chipukizi? Huyo Mac Voice miaka mitano ni ya msoto na waliokuwa wakimjua walikuwa wachache.
Hivi kipindi kile Diamond anatoa kamwambia 2009,why Kilimanjaro awards walimweka kwenye Category ya Chipukizi mwaka huo?
Hapa nimekubali aseehLOUI - hennesy
ndie msanii bora chipukizi sio hizo takataka zenu za kimakonde
Zuchiu Yuko vizuri , hata Angela Yuko poa , ibrah Mimi simkubali, harmonize awekezee sana Kwa Angela itamlipa kuliko Kwa ibraSasa kama Ibraah akiwa best new comer Zuchu nae utamweka wapi? Manake Zuchu na Ibraah wametoka ndani ya mwezi mmoja tofauti siku.
Nominated kwa mchongo et best newvomer afu category moja na onah Kay,Mario and etc,walihonga jina lake liwe nominatedMACVOICE ni namba moja ...coz kaibuka mwezi mmoja na kuwa nominated kwenye tuzo as best upcoming artist......wakat ibra now ana miaka miwili hajawahi hata kuwa nominated in HBABA AWARDS