Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,176
- 22,577
habari ndugu.
Mwaka ukiwa unaishia sasa tumeona tangu mwanzoni wasanii chipukizi wengi walichipua na ngoma zao za moto na kusumbua sana,
Wapo waliotoa ngoma moja na kupotea wapo walio maintain mpka sasa ,akwemo msanii kutoka konde gang ibrah huyu ndio best newcomer kwenye bongo fleva mwaka huu.
Ana nyimbo nyingi hits kuliko wengine
Je yupi msanii wako bora chipukizi?
Mwaka ukiwa unaishia sasa tumeona tangu mwanzoni wasanii chipukizi wengi walichipua na ngoma zao za moto na kusumbua sana,
Wapo waliotoa ngoma moja na kupotea wapo walio maintain mpka sasa ,akwemo msanii kutoka konde gang ibrah huyu ndio best newcomer kwenye bongo fleva mwaka huu.
Ana nyimbo nyingi hits kuliko wengine
Je yupi msanii wako bora chipukizi?