Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Well: Well: Well:
Leo alfajiri (saa 11 CAT) nikiwa nasikiliza BBC (Swahili Service), nimemsikia afisa wa IBM (T) - David Sawe - akisema kuwa wapo kwenye mkakati wa kujadiliana/kuishauri serikali jinsi gani kampuni hiyo inavyoweza kuisadia serikali katika kupunguza "foleni" ndani ya JIJI la DSM...
Alisema mojawapo ya njia wanazoweza kutumia ni kwa njia ya CCTV (data collection) na kwa kutumia data hizo inawezekana kufanya maamuzi ya barabara ipi itumike vipi, e.t.c
Inawezekana wazo ni zuri, lakini kwa maoni yangu hii haiwezi kuwa "sure way" ya kutatua tatizo la "foleni" kwa kuwa DSM "hamna barabara" na nadhani hilo ndilo tatizo la msingi!
Sawe - I hope hii isije kuwa "nitoke vipi ya IBM(T)"!
Leo alfajiri (saa 11 CAT) nikiwa nasikiliza BBC (Swahili Service), nimemsikia afisa wa IBM (T) - David Sawe - akisema kuwa wapo kwenye mkakati wa kujadiliana/kuishauri serikali jinsi gani kampuni hiyo inavyoweza kuisadia serikali katika kupunguza "foleni" ndani ya JIJI la DSM...
Alisema mojawapo ya njia wanazoweza kutumia ni kwa njia ya CCTV (data collection) na kwa kutumia data hizo inawezekana kufanya maamuzi ya barabara ipi itumike vipi, e.t.c
Inawezekana wazo ni zuri, lakini kwa maoni yangu hii haiwezi kuwa "sure way" ya kutatua tatizo la "foleni" kwa kuwa DSM "hamna barabara" na nadhani hilo ndilo tatizo la msingi!
Sawe - I hope hii isije kuwa "nitoke vipi ya IBM(T)"!