redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,134
- 11,481
Wewe jamaa tangu ulipokua unamtukana Lowasa akiwa CCM uku ukiapa Lowasa hawezi kuamia Chadema. Kwa Sasa ndiye Mnenguaji mkubwa na ukitoa sifa nyingi za kumsafisha Lowasa, huna maana tena.
Kama ungekua mwanangu ninge kubadilisha na gunia la mkaa ili niote moto kwakua huna maana.
Wewe ni msaliti mkubwa wa watanzania, ulistahili upewe adhabu ya juu kabisa wanayo pewa wasaliti vitani.
Kama ungekua mwanangu ninge kubadilisha na gunia la mkaa ili niote moto kwakua huna maana.
Wewe ni msaliti mkubwa wa watanzania, ulistahili upewe adhabu ya juu kabisa wanayo pewa wasaliti vitani.