Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Sheria hii ya Uchaguzi ya 1984 Sehemu ya Kipengele chake ilikuwa inasema:
Sijapata muda wa kufuatilia kwa karibu maana najua kuna mabadiliko kadhaa ya Katiba yalifanyika, sijui kama sheria ya Uchaguzi ilivyo sasa inasomeka ikiwa na vifungu hivyo.
(2) The Electoral Commission may, for any reason which appears
to be sufficient, require that the votes in the constituencies, or in any
particular constituency, shall be recounted.
(3) Subject to sub-section (2), the Commission shall, after adding
together all the respective totals certified to it in accordance with subsection
(1), declare the result of Presidential election.
Sijapata muda wa kufuatilia kwa karibu maana najua kuna mabadiliko kadhaa ya Katiba yalifanyika, sijui kama sheria ya Uchaguzi ilivyo sasa inasomeka ikiwa na vifungu hivyo.