Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nilikuwa katika kujisomeasomea na kutafiti kitu fulani lakini nimekutana na hiki kipengele sijakielewa hasa. Ibara ya 24 ya sheria hiyo ya 2002 inazungumza kuondolewa kwa watumishi wa umma na inaanza kwa kusema kuwa
Na sehemu ya 3 inasema kuwa:
Sasa najiuliza; ina maana kuwa Rais anaweza kumlazimisha Jaji wa Mahakama Kuu au wa Rufaa kustaafu? Inaposema "save that where" maana yake ni "isipokuwa pale ambapo" .. naomba mwanga kidogo itanisaidia katika kajiutafiti kangu fulani. Au kipengele hicho hakipo tena na kuwa majaji hawawezi kuondolewa na Rais isipokuwa kwa kanuni iliyowekwa kwenye Katiba?
24:1 The president may remove any public servant from the service of the Republic if the President it in the public interest to do so. Except in the case of removal of a judge or other judicial officers, the procedure for the exercise of these powers shall be provided for in the Regulations.
Na sehemu ya 3 inasema kuwa:
A justice of appeal or a judge of the High Court may only be removed from office in exercise of power in pursuit of the procedure set out in the constitution; save that where the President removes a justice of appeal or a judge from office, the judge shall be deemed to have retired from the public service from the date of such removal from office.
Sasa najiuliza; ina maana kuwa Rais anaweza kumlazimisha Jaji wa Mahakama Kuu au wa Rufaa kustaafu? Inaposema "save that where" maana yake ni "isipokuwa pale ambapo" .. naomba mwanga kidogo itanisaidia katika kajiutafiti kangu fulani. Au kipengele hicho hakipo tena na kuwa majaji hawawezi kuondolewa na Rais isipokuwa kwa kanuni iliyowekwa kwenye Katiba?