YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Huyo Assad ana wake wanne tayari nadhani mzigo umemwelemea anakumbuka magari ya ofisi na ya nyumbani kuhudumia wake zake kwenda saluni nk ndio maana analialia Keshafikisha wake wanne kwa mujibu wa dini ya kiislamu hawezi ongeza Tena labda ampe talaka mmoja atoe nafasi kwa mpya kuingia.Lakini ana wake wanne wa ndoa kabisa.Kulea na kutunza wake wanne na watoto wao na ndugu za wake hapo mtu lazima alilie nafasi aliyokuwa nayo ya U CAGKwa nini unaulizia umri wake? Unataka akuongeze kama mke wake?
Ulizia pia ana wake wangapi.