Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Katiba ya Muungano inaweka utaratibu wa vyeo vikuu vya Serikali ya Zanzibar na inaelezea juu ya vyeo vingine au taratibu nyingine kwa mujibu wa "katiba hii (ya MUungano) na Katiba ya Zanzibar". Je Makamu wa Rais wa Zanzibar Seif na Idi wana nafasi yoyote wanapokuja kwenye Muungano. Kwa mfano, wakisimama mawaziri wa Tanzania na Waziri Mkuu wa Tanzania hawa wanasimama kama viongozi wa kitaifa?