emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
sawa ila akiwa bungeni,akiwa nje ya bunge yeye ni kiongozi wa muhimili mwinyineRais ni sehemu ya Bunge.
sawa ila akiwa bungeni,akiwa nje ya bunge yeye ni kiongozi wa muhimili mwinyineRais ni sehemu ya Bunge.
Kokote zinapotoka ila kaa ukijua huko zinapotoka zinatoka kwa sheria hamna wa kuzizuia,pili mishahara wanajipangia wao wenyewePosho wanazolipana zinatoka wapi?
Ukilielewa hilo utagundua hawana uhuru wowote ni mbwembwe tu!
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.
Kwa hizi kodi zetu? hapana, bora hata warudi mitaani serikali inaweza kupanga kila kitu bila matatizo.Na mtu akiwa katika starehe yake hiyo ya Kudemka Hapaswi kuingiliwa na yeyote! Ok acha kesho ngoma iendelee kwa raha zao!
Na national assembly ambapo raisi anakuwa hayupo tuliiteje kwa kiswahili au katiba imetafsiri vipiSijaenda. Lakini ninajua ili liwe Bunge (Parliament) Rais lazima awe included, tofauti na hapo inakuwa National Assembly.
kudemka ndo mama kaniacha hoiKweli maisha ya Bongo ni marahis, Yaani mtu anaenda "Kudemka" ngoma ya Sindimba then anakula Ml.12 kwa mwezi, per diem, v8, kiinua mgongo Ml.250 Na posho za kila namna.
Na mtu akiwa katika starehe yake hiyo ya Kudemka Hapaswi kuingiliwa na yeyote! Ok acha kesho ngoma iendelee kwa raha zao!
Kiswahili hakijitoshelezi boss tunatumia neno moja - Bunge.Na national assembly ambapo raisi anakuwa hayupo tuliiteje kwa kiswahili au katiba imetafsiri vipi
Hawajazuiwa kujadili suala wanajadili nini? Hatukuwachagua kwenda kujadili watu bali masuala (issues) ambayo ni ya afya kwa mustakabali wa taifa letu
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100 (1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100 (2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.
Uko sahihi kabisa.Rais ni sehemu ya Bunge.