Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
- Thread starter
- #41
Soma ibara ya 100 ya katiba ya JMT.Hayo mbona hamkusema wakati mnapangiwa ya kuongea na jiwe? Yaani wasukuma magufuli kawaharibu sana
Soma ibara ya 100 ya katiba ya JMT.Hayo mbona hamkusema wakati mnapangiwa ya kuongea na jiwe? Yaani wasukuma magufuli kawaharibu sana
Kamuulize NdugaiHivi watanzania tumeelimika?
Kama wajeuri mtunishieni misuli basiSoma ibara ya 100 ya katiba ya JMT.
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100(1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100(2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.
Uko sahihi parliament ina include president of republic, national assembly excludes presidentSijaenda. Lakini ninajua ili liwe Bunge (Parliament) Rais lazima awe included, tofauti na hapo inakuwa National Assembly.
Umeshau habari za wabunge kujadili Mbowe alivyolewa Konyagi Chako ni chako.Hayo mbona hamkusema wakati mnapangiwa ya kuongea na jiwe? Yaani wasukuma magufuli kawaharibu sana
Mbona hii lugha hamkumwambia Mwendazake JPM?? Mama kuingia tu imekuwa NONGWA? JPM alikanyaga Katiba ya JMT mara ngapi?? Baba wa Taifa Mwl. Nyerere(RIP) alisema hii Katiba yetu ya JMT imempa Rais madaraka/mamlaka makubwa sana anaweza kufanya chochote au lolote na hakuna wa kumhoji!!Hayo unayasema wewe. Katiba ni sheria kuu ya nchi. Hakuna aliye juu ya katiba.
Tulia basi dawa ikuingie maana hata ukilalamika ukajamba na kunya bado samia ndiye rais wako hutaki hama nchi au nenda kamfuate lisu ubeberuniUmeshau habari za wabunge kujadili Mbowe alivyolewa Konyagi Chako ni chako.
Lack of ability to think.Tulia basi dawa ikuingie maana hata ukilalamika ukajamba na kunya bado samia ndiye rais wako hutaki hama nchi au nenda kamfuate lisu ubeberuni
Haya yanatoka wapi ndugu?We panya tu huna lolote na vingereza vyako vya uchochoroni ukabila na usukuma ndio vinakusumbua we amini huyo mungu mtu wenu analiwa na funza huko kama unampenda sana nenda kalale pembeni ya kaburi lake
Ametesa sana wasio na hatia huyu huku nyie wafuasi wake mkimshangilia kwa mampambio na vifijo , anajifanya anamaneno mazuri mdomoni kumbe ni shetani wakutupwa kwenye matendo na wajinga wa aina yako mkamfurahia,
Kwa kweli asante sana mungu kwa kumuondosha huyu mtu angeliharibu sana taifa hili kama ambavyo sahizi tunahangaika hapa na wafuasi wake kama wewe mlio aminishwa kwamba hakuna rais apaswaye kuabudiwa ila magufuli sasa kafa mnaanza kumuhujum Rais samia inamaana hamjakubali kwamba mungu mtu wenu kafa?
Ivi kumbe hizi ibara zinafanya kazi wakiguswa wabungeImetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100(1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100(2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.
Miaka yote zinafanya kazi.Ivi kumbe hizi ibara zinafanya kazi wakiguswa wabunge
Yanatokea huko huko mmelishwa maneno mkaaminishwa ujinga leo mnaanza kumtafutia sababu mama watu ambaye kapewa nchi kwa mujibu wa katiba kabisa nini kinafanya mumchukie kama sio roho ya ubinafsi mliyo pandikizwa na magufuli?Haya yanatoka wapi ndugu?
Unambishia Nini,ndio rais ni sehemu ya bunge, civics kidato Cha piliSijaenda. Lakini ninajua ili liwe Bunge (Parliament) Rais lazima awe included, tofauti na hapo inakuwa National Assembly.
Nani kabisha? Wewe na huyo jamaa hamna akili. Rais kuwa sehemu ya bunge ndio anaingilia ibara ya 100?Unambishia Nini,ndio rais ni sehemu ya bunge, civics kidato Cha pili
Mtu akileta ubishi,huyo ni mchawiView attachment 1756022
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100(1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100(2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.
Yeye anasema Rais siyo sehemu ya Bunge 😁Unambishia Nini,ndio rais ni sehemu ya bunge, civics kidato Cha pili
We mpuuzi, usie na akili acha kutafuta kick.Yeye anasema Rais siyo sehemu ya Bunge 😁
Umesahau hata hayati JPM alisema hana mamlaka ya kuwaingilia wabunge wakiwa bungeni?Mbona hii lugha hamkumwambia Mwendazake JPM?? Mama kuingia tu imekuwa NONGWA? JPM alikanyaga Katiba ya JMT mara ngapi?? Baba wa Taifa Mwl. Nyerere(RIP) alisema hii Katiba yetu ya JMT imempa Rais madaraka/mamlaka makubwa sana anaweza kufanya chochote au lolote na hakuna wa kumhoji!!
Kumbuka Spika na Naibu wake majina yao yanapendekezwa na Rais aliyeko madarakani hivo Spika na Naibu wake hawana lolote la kubadilisha alichosema Rais baali KUTEKELEZA TU....!!!