Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Ndugu wana JF,
Naomba kutoa shukrani kwa wana mtandao wote, walioshiriki ibada ya mwisho kwa mpendwa wetu.
Nasikitika kutokana na nafasi yangu sikuweza kuwa live kuwapa kilichijiri. Nilifurahi kukutana na wana JF kadhaa na mtawekewa picha za matukio muda si mrefu.
Karibuni tena kesho Karimjee tuweze kutoa heshima za mwisho.
Kutokana na protokali watu wote wanapaswa kuwa ndani not late than saa tatu asubuhi. Mwisho wa kuaga mwili ni saa tano na tano unusu safari ya Ifakara itaanza.
Naomba kutoa shukrani kwa wana mtandao wote, walioshiriki ibada ya mwisho kwa mpendwa wetu.
Nasikitika kutokana na nafasi yangu sikuweza kuwa live kuwapa kilichijiri. Nilifurahi kukutana na wana JF kadhaa na mtawekewa picha za matukio muda si mrefu.
Karibuni tena kesho Karimjee tuweze kutoa heshima za mwisho.
Kutokana na protokali watu wote wanapaswa kuwa ndani not late than saa tatu asubuhi. Mwisho wa kuaga mwili ni saa tano na tano unusu safari ya Ifakara itaanza.