cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
West Africa hukaa na marehemu hata miezi hawaziki haraka ka huku, Tena huyo Joshua wamemuwaisha mapema Sana. So ni Kama Mila zao usilaumu walokole kwa usichokijua friendWalokole watu wa ajabu sana.Ukifiwa wakija kwenye msiba wako utasikia marehemu ameishakufa hiyo ni mifupa hana connection na chochote mkazike wala hakuna kulia. Angalia sasa wao yamewakuta mpaka leo bado wanazunguka tu na maiti. Si wangemzika tu siku ile ile maisha yaendelee. Yesu alizikwa siku hiyo hiyo na akafufuka siku ya tatu huyu kakaa mwezi sasa wanaendelea kusujudu mzoga