Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,822
habari za asubuhi ndugu zanguni?
jana nilihudhuria ibada kwenye kanisa moja la kiroho lenye jina la kiingereza (kizungu)
ukafika muda ule wa kupokea miujiza yetu, mara wenye mapepo wakaanza kucharuka,
pepo moja likaleta machachari ya hali ya juu,
mchungaji akakemea kama kwa dakika kumi huku akijibishana na hilo pepo,
mchungaji akaona pepo linamletea gozigozi,
akkanza kuliambia wee pepo **** kabisa ,
mi nakujua kuwa wewe ni bwabwa tu,
huna lolote,
nakuamuru toka sasa hivi kabla sijakuangushia timbili la asha ngedere,
mchungaji akaendelea kuporomosha matusi,
mwishowe tukasikia pepo likisema nakwenda,
sirudiii,
watu gani mnamatusi kuliko sisi tuliyoasisi matusi!!!!
sirudii tena kuwafuata waumini wa hili kanisa,
ilibaki kidogo nizimie kwa huo muujiza wa mbinu mpya za kutoa mapepo.
jana nilihudhuria ibada kwenye kanisa moja la kiroho lenye jina la kiingereza (kizungu)
ukafika muda ule wa kupokea miujiza yetu, mara wenye mapepo wakaanza kucharuka,
pepo moja likaleta machachari ya hali ya juu,
mchungaji akakemea kama kwa dakika kumi huku akijibishana na hilo pepo,
mchungaji akaona pepo linamletea gozigozi,
akkanza kuliambia wee pepo **** kabisa ,
mi nakujua kuwa wewe ni bwabwa tu,
huna lolote,
nakuamuru toka sasa hivi kabla sijakuangushia timbili la asha ngedere,
mchungaji akaendelea kuporomosha matusi,
mwishowe tukasikia pepo likisema nakwenda,
sirudiii,
watu gani mnamatusi kuliko sisi tuliyoasisi matusi!!!!
sirudii tena kuwafuata waumini wa hili kanisa,
ilibaki kidogo nizimie kwa huo muujiza wa mbinu mpya za kutoa mapepo.