S Sexless JF-Expert Member Mar 11, 2017 21,569 50,393 May 29, 2021 #1 Ndiyo! Kwani marais waliotoka maeneo hayo Wana tofauti gani na yule aliyekuwa anatokea Chato? Tuache uzwazwa tuokoe fedha za walipa kodi.
Ndiyo! Kwani marais waliotoka maeneo hayo Wana tofauti gani na yule aliyekuwa anatokea Chato? Tuache uzwazwa tuokoe fedha za walipa kodi.
K KISIWAGA JF-Expert Member Oct 22, 2015 8,024 16,488 May 29, 2021 #3 Hao misukule wa mwendazake wasahau kabisa kuhusu Chato kuwa mkoa,kwa sasa viwanja hapo chato vitarudi bei yake ya awali mwaka <2015
Hao misukule wa mwendazake wasahau kabisa kuhusu Chato kuwa mkoa,kwa sasa viwanja hapo chato vitarudi bei yake ya awali mwaka <2015