ndugu yangu mudushi....hiyo sherehe utafanyia wapi na hayo maandamano utapita wapi katika nchi hii ya kidikteta.....sisi tuzidi kumuombea kwa Mungu ndio sherehe iliyobaki
Kwa mafanikio makubwa kabisa ya W.P. Slaa (PhD) aliyoyapata ktk siasa za Tanzania, Napendekeza sote tumwandalie sherehe kubwa kabisa ya kumpongeza. Pia yawepo maandamano kila mkoa ya kumpongeza Slaa (PhD) kwa mafanikio hayo.