Funguka kidogo manake jukwaa la sheria nalo liko mbali sanaa!
Pole sana aisee, dawa anza biashara, ukikaa idle utaikumbuka sana kazi!
Mungu akutie nguvu na akupe busara na subra katika kipindi hiki kigumu. Kumbuka mlango mmoja ukufungwa mwengine unafunguliwa. It may take time, but in the end you will prevail. Kuwa karibu na Mungu wako na usiache kumwomba
Funguka zaidi sijakuelewa