Open schools zote zipo kwa ajili ya kila mmoja. Hata ambaye hakuenda shule darasa la kwanza.Nataka nijue kama haitasumbua baadae kwa huyo mwanafunzi aliemaliza darasa la saba mwaka huu na anataka kuanza form one hiyo shule ambayo imesajiliwa kama open though wamesema wanapokea wanafunz wote
what d'ya think?So hiyo ni bad thing au a good thing