Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Nimefikiri, Nimewaza na kupata jibu moja: NDIO NINAWEZA, kwanini watu wengi wanafikiri watu wa Tanga hawawezi kufanya mabadiliko ya kisiasa, jibu rahisi UMWINYI,UDINI,WAVIVU n.k. (kama wasemavyo). Lakini je watu hawa hawawezi kubadilika? Kwanini, mimi ni mtu wa Tanga lakini ni mpinzani, nimebadilika? Kwanini mimi ni CHADEMA? Jibu rahisi: Kwasababu napenda kuona mabadiliko.Unaweza kuuliza mabadiliko gani, nina jibu kwa swali hili. Kwani mabadiliko haya hayawezi kuletwa na CUF.UDP,TLP,CHAUSTA n.k.? Jibu rahisi: Hawako tayari kufanya hivyo.
Ndiyo NINAWEZA, mwaka 2015 natumaini nitagombea ubunge jimbo la Lushoto kupitia CHADEMA. Imeshasemwa ni mapema mno kutangaza nia, lakini nina kitu ndani ya moyo wangu, this is my internal feeling, that i express to you na wananchi wote wakiwemo ndugu, rafiki, jamaa n.k ni ombi langu kuniunga mkono kwa hili.
Ndiyo NINAWEZA, mwaka 2015 natumaini nitagombea ubunge jimbo la Lushoto kupitia CHADEMA. Imeshasemwa ni mapema mno kutangaza nia, lakini nina kitu ndani ya moyo wangu, this is my internal feeling, that i express to you na wananchi wote wakiwemo ndugu, rafiki, jamaa n.k ni ombi langu kuniunga mkono kwa hili.