sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
Nalia na kuomboleza kuwa hawa mafithad walio jichana na kujinoma raslimal za taifa le2, naomba liwe somo kwa mafithad na majiz yote yaliyojichimbia ndan na nje ya taifa hili, yasije yakawakuta yaliyo mkuta teila na kuwatokea puani! Na haswaa miaka 50 jela! Ni onyo yasije yakawakuta