Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
I wish Kikwete akiingia madarakani awaingize mawaziri wasio perform kama akina Masha, Kamala, n.k ili mabadiriko tunayoyataka hata vijijini wayaone. Yaani ikiwezekana ampe Rizwani Uwaziri tu ili harufu yake imfikie kila mtu. Ili ifikapo 2015 tusitumie nguvu sana