Babu wa Loliondo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 323
- 105
Habari wanaJF,I wish ningekapa babyMamaz,kwa kweli maana nimechoka na hawa mademu wa kileo,wanasumbua sana!! BabyMamaz mpo jaman??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kukubeza Babu wa Loliondo, pole sana mdogo wangu! Inaonekana mpaka umefikia hatua hii, utakuwa umetendwa vya kutosha na hawa mabinti wa siku hizi! Sidhani kama ni busara kukimbilia kwenye babyMamaz bila kujua sababu za nini kilikufanya mabinti wa rika lako wakutende kiasi hiko. Cha msingi, kaa chini zitafakari njia zako, mahusiano yako, namna unavyowasiliana na uwapendao, tabia zako kwao na kutafuta weakness zako. tatizo linaweza kuwa si la hao waliokutenda bali behavior na attitude zako kwao ndizo zinawaboa na wanaamua kukumwaga!
Fikiria na hili pia!