I support CHADEMA

menyidyo

JF-Expert Member
Oct 9, 2010
1,339
194
baada ya kuangalia nchi na siasa inavyokwenda sasa nimeamua kuipa nguvu chadema moja kwa moja. hatua nitakazo chukua wiki hii ni kuchukua kadi ya chama. na kutoa mchango wa hali na mali kwa chama changu ambacho kwa pamoja tutaikomboa NCHI............................................ CHADEMA JUUUUUUUuuuu
 
KAma bado ujawa mwanachama wa CDM,nashauri usichukue kadi,bali zama ndani ya CCM,ukiwa na nia na dhamira moja Tu,ya KUBOMOA CCM,UKIWA NDANI YA CCM.na ktk chaguzi pigia debe CDM ukianza na familia yako,ndugu,jirani,washirika wako wa biashara/ajira.na watu wa ibada yako.
 
Back
Top Bottom