Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
Nawaambieni ni kinyume na asili ya binadamu kufungamana na mtu mmoja tu kwa milele. Binadamu tumeumbwa na matamanio yasiyo na kikomo. It's almost impossible to be monogamous.......
Yeyote anayebisha hili akili yake ni kushikiwa. Huwezi kula chakula kile kile miaka nenda miaka rudi lazima utataka kuonja na mapishi mengine kama wewe ni mwanaume/mwanamke.