I salute wadada wa.kichaga

loving

Senior Member
Aug 27, 2012
137
34
Habari wandugu
Nimefanya uchunguzi hapa mjini
Wadada wengiiii wana magar mazuri na wengi ni wachaga. Nawapongeza sana kwani ni haki.yenu maana mnapiga kaz kiukweli. wanajf mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Magari mazuri!!!
Hii haina tyofauti na ile kauli ya mkuu '..trafic jam ni kielelezo cha maendeleo...'
 
Ebboth! Umeliona la kwangu?
Haya edit post yako na utheme, "WANAMAGARI MAZURI KAMA MAGARI YA Mashaxizo!"
...
Na ukikataa naifunga thired!
 
Magari mazuri ni yapi? Au passo,ist,spacio,vitz,nadia,duet,starlet,swift,raum? Maana wadada ndio wanayo hayo!!
 
Afu mdada kama Mamndenyi ana miliki magari kadhaa , lakini hamiliki walau Nguruwe wawili wa kufuga !
Mchagga gani hufugi Kitifaya ? Nina doubt na uchaga wenu !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom