Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
si hautanitambulisha tena wala kuwai home kuniangalia maana mvuto kushnei au?hapana bebii kama ukiugua uko kwangu thats my responsibility ucjali
si hautanitambulisha tena wala kuwai home kuniangalia maana mvuto kushnei au?hapana bebii kama ukiugua uko kwangu thats my responsibility ucjali
Jana palikuwa na picha yako hapa. Leo mbona siioni? Kwa nini umeiondoa ?Haya nambieni hii picha niliyoweka iko poa eeh? Si nimetoka chicha Hahahahahaaa!
mi mbaya sana mwenzangu?Jamani unaweza ukasoften vigezo pia @Bebii
Mh hilo nalo neno mamy! Dah unanifanye nigeuzie mwelekeo kwako maana una akili ya kutizama mambo kwa upana wakeAngalia usitamani na vingine visivyotamanika, ukikutana na mzuri kweli kweli lakini 24/7 yuko kwenye kioo atakuhudumia saa ngapi? majuto ni mjukuu, mke mzuri hapimwi kwa sura nzuri.
Saint picha yangu au ya huyo ninayemtaka?